Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei 18, 2017

Students Corner

Picha
Kila mzazi angependelea mwanae afanikiwe katika masomo na kufaulu mitihani yake. Pia kila mwanafunzi anahitaji KUFAULU katika mitihani yake. Walimu nao hujisikia vizuri wakati wanafunzi wao wanapofanya vizuri katika mitihani yao. KUFAULU mtihani   ni muhimu kwa malengo   ya   mwanafunzi, kwani   anaposhinda mitihani   humwezesha   kuwa na mtazamo   wa juu kielimu, kwa mfano   KUPATA CHETI , DIPLOMA AU DIGRII , kitu ambacho   humfanya afae kwenye   KAZI. Wakati   mwingine   inakuwa   ni vigumu kwa baadhi ya WANAFUNZI kumudu MASOMO na mitihani yao. WAKATI HUO HUO wapo   baadhi yao   ambao wao   KUFAULU   MITIHANI si   tatizo Sasa   mtu anaweza   kujiuliza , kwa nini WANAFUNZI   wengine   WASHINDWE   na   wengine WAFAULU vizuri katika Masomo NA MITIHANI yao ? MAFANIKIO katika   MASOMO na KUFAULU MITIHANI   kunahitaji UWEZO WA ASILI, KUFANYA   KAZI KWA BIDII   na KUFUATA   KANUNI   NA MBINU ZA   KUSOMA. Wanafunzi wengine huona   ugumu katika MASOMO...