Students Corner
Kila mzazi angependelea
mwanae afanikiwe katika masomo na kufaulu mitihani
yake. Pia kila mwanafunzi anahitaji KUFAULU katika mitihani yake.
Walimu nao hujisikia vizuri wakati wanafunzi wao wanapofanya vizuri
katika mitihani yao.
KUFAULU mtihani ni muhimu kwa malengo ya mwanafunzi, kwani
anaposhinda mitihani humwezesha kuwa na mtazamo wa juu kielimu,
kwa mfano KUPATA CHETI , DIPLOMA AU DIGRII, kitu ambacho
humfanya afae kwenye KAZI. Wakati mwingine inakuwa ni vigumu
kwa baadhi ya WANAFUNZI kumudu MASOMO na mitihani yao.
WAKATI HUO HUO wapo baadhi yao ambao wao KUFAULU
MITIHANI si tatizo
Sasa mtu anaweza kujiuliza , kwa nini WANAFUNZI wengine
WASHINDWE na wengine WAFAULU vizuri katika Masomo
NA MITIHANI yao ? MAFANIKIO katika MASOMO na
KUFAULU MITIHANI kunahitaji UWEZO WA ASILI,
KUFANYA KAZI KWA BIDII na KUFUATA KANUNI
NA MBINU ZA KUSOMA.
Wanafunzi wengine huona ugumu katika MASOMO na
KUFAULU MITIHANI , si kwa sababu hawana akili , bali hawafuati
MBINU na KANUNI fulani za KUSOMA na KUFAULU MITIHANI. WANAFUNZI wengi wana uwezo mzuri , kama watajifunza
mbinu hizi.Mbinu na kanuni hizi zinazweza kutumiwa na wanafunzi
wa SHULE ZA MSINGI , SEKONDARI , VYUO na hata VYUO VIKUU.
yake. Pia kila mwanafunzi anahitaji KUFAULU katika mitihani yake.
Walimu nao hujisikia vizuri wakati wanafunzi wao wanapofanya vizuri
katika mitihani yao.
KUFAULU mtihani ni muhimu kwa malengo ya mwanafunzi, kwani
anaposhinda mitihani humwezesha kuwa na mtazamo wa juu kielimu,
kwa mfano KUPATA CHETI , DIPLOMA AU DIGRII, kitu ambacho
humfanya afae kwenye KAZI. Wakati mwingine inakuwa ni vigumu
kwa baadhi ya WANAFUNZI kumudu MASOMO na mitihani yao.
WAKATI HUO HUO wapo baadhi yao ambao wao KUFAULU
MITIHANI si tatizo
Sasa mtu anaweza kujiuliza , kwa nini WANAFUNZI wengine
WASHINDWE na wengine WAFAULU vizuri katika Masomo
NA MITIHANI yao ? MAFANIKIO katika MASOMO na
KUFAULU MITIHANI kunahitaji UWEZO WA ASILI,
KUFANYA KAZI KWA BIDII na KUFUATA KANUNI
NA MBINU ZA KUSOMA.
Wanafunzi wengine huona ugumu katika MASOMO na
KUFAULU MITIHANI , si kwa sababu hawana akili , bali hawafuati
MBINU na KANUNI fulani za KUSOMA na KUFAULU MITIHANI. WANAFUNZI wengi wana uwezo mzuri , kama watajifunza
mbinu hizi.Mbinu na kanuni hizi zinazweza kutumiwa na wanafunzi
wa SHULE ZA MSINGI , SEKONDARI , VYUO na hata VYUO VIKUU.
KANUNI ZA KUSOMA
1.Weka LENGO maalumu la KUSOMA kila siku na litimize.2.Jiandae kwa mtihani kila wakati , usingoje mwalimu atangaze kuwa
ataleta mtihani ndipo usome. SOMA KILA SIKU.3.Weka RATIBA ya kila somo na ifuate.4.Tenga muda wa kutosha kwa kila somo.5.Uwe na mahali maalumu pa kusomea.6.Epuka kitu chochote kinachoweza kukufanya usisome vizuri.7.Tafuta mahali pasipo na kelele za aina yoyote.8.Usifanye mambo mengi kwa wakati mmoja.Kwa mfano,
MAPENZI au ANASA ZA KIMWILI wakati ungali mwanafunzi.
Hivyo ni vikwazo masomoni.9.Jijengee tabia njema ya kujizuia katika tama za mwili.10. Fanya MAZOEZI ya mwili mara kwa mara.11.Jiwekee MUDA wa kutosha kila siku kwa ajili ya kazi
za utoaji taarifa za MASOMO na PROJEKTI.12.Ni jambo la busara kuwa na usiku mmoja wa kumpumzika
katika juma ambayo si Jumapili au Jumamosi.13.Ni muhimu kujihusisha na watu wengine , jambo hili litakufariji
kimawazo.
WAKATI WA KUJISOMEA14. Kabla hujaanza kujisomea , hakikisha kuwa zana zote muhimu
kwa kusomea zipo.15.Epuka vishawishi vinavyoewza kukufanya uairishe KUJISOMEA.16.Tafuta mahali pasipo na kelele za aina yoyote.17.Hakikisha kuwa mahali pa kusomea pana mwanga wa kutosha.18.Usisome mambo mengi kwa wakati mmoja.19.Epuka kusoma hadi usiku sana; utaharibu afya yako.20.Jisomee katika MUDA unodhani unafaa zaidi.21.Epuka KUSOMA ukiwa umejilaza kitandani.22.Uwe na MUDA wa KUPUMZIKA kila unapochoka KUSOMA.23.Uwe na muda mwingi wa KUJISOMEA kila siku , usipoteze
MUDA kwa mambo yasiyo ya lazima kama vile MAONGEZI.
UNAPOKUWA SHULENI / CHUONI / DARASANI
FANYA YAFUATAYO24. Fika darasani kwa wakati unaotakiwa ili usikose MAAGIZO.25. Usikose kipindi bila sababu maalumu.26.Wakati mwalimu hajafika darasani , pitia yale uliyojifunza kipindi kilichopita.Soma kazi zako zote za darasani kabla ya kuanza darasa.27.Wakati Mwalimu anafundisha darasani SIKILIZA KWA MAKINI kile anachofundisha na mwangalie machoni mwalimu usiangalie pembeni .28.Baada ya kipindi , pitia yale uliyojifunza.29.Chunguza masomo yako ili ujue udhaifu wako uko wapi.30.Jenga tabia ya UVUMILIVU na kamwe usikate tama wakati ugumu unapoibuka masomoni.31.Jenga tabia ya kupania KUFAULU katika MASOMO yako. AMINI KUWA UTAFAULU.32.Usiwe MWANAFUNZI wa kukaa tu darasani, ULIZA na JIBU MASWALI yanapoulizwa.33.Epuka kukaa kimya na nyuma ya darasa , bali shiriki katika mazungumzo ya darasani na wenzako.34.Ni vizuri pia kuwa na MWENZAKO wa kujadili naye.35.Uwe MWANAFUNZI mdadisi wa mambo kwa walimu na hata kwa wanafunzi wenzako pia.36. Wasilisha kazi za darasani kwa wakati wake.37.Unapokuwa na matatizo kimasomo, mwone mwalimu , anayehusika.38.Hudhuria shughuli zote za shule nje ya darasani.39. Jenga uhusiano mzuri kwa walimu wako na kwa wanafunzi wenzako.Ukiwa na AMANI moyoni , utasoma na kuelewa. JISTAHI na KUWAPENDA walimu wako. Ukimpenda mwalimu utalielewa vzuri somo lake.40.Epuka marafiki wabaya wenye nia ya kukupotosha.41. Epuka POMBE , UVUTAJI WA SIGARA , BANGI na MADAWA YA KULEVYA.Huharibu ubongo na kudhoofisha afya.
KABLA YA MITIHANI FANYA HAYA42.Kabla ya mtihani , SOMA KWA BIDII SANA usingoje mtihani umekaribia ndipo usome.43.SOMA kwa mpangilio kila siku ili KUJIANDAA kikamilifu kwa MTIHANI.44.USIKU unaofuatiwa na siku ya mtihani uwe na MUDA WA KUTOSHA WA KULALA.KULALA.Usisome hadi usiku wa manane.
SIKU YA MITIHANI FANYA HAYA45.Siku ya mtihani , usifikirie kushindwa bali uwe na IMANI kuwa utashinda.ONDOA WASIWASI NA MASHAKA.46.Wahi kwenye chumba cha mtihani kwani kuchelewa huleta HOFU.47.Chukua vifaa vyote muhimu katika mtihani kama vile kalamu, penseli na rula.48.Soma MAAGIZO YA MTIHANI kwa uangalifu sana, na hakikisha uko makii kwa kile unchotakiwa kufanya kabla ya kujibu swali lolote49. Kabla hujaanza kujibu maswali , angalia maswali ambayo ni rahisi kwako kujibu.50.JIBU maswali rahisi kwanza na kwa haraka ili upate MUDA wa kutosha kujibu maswali magumu.Asante sana wanafunzi wangu wa SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI, VYUO na VYUO VIKUU kwa kusoma makala hii nzuri sana.Jifunze Mbinu zaidi za Kusoma na Kufaulu Vizuri Mitihani yako:-MAMBO YA KUZINGATIA UKIWA KATIKA CHUMBA CHA MTIHANI1.Muombe Mungu akutangulie katika kufanya mtihani wako.2.Soma instruction kwa makini.3.Soma swali zaidi ya mara moja kabla ya kulijibu/Usikurupuke.4.Anza kufanya maswali unayoyaweza.5.Uwe na vifaa vyako vyote i.e pen, pensel, rula, ufutio, n.k6.Epuka kuingia na kitu chochote ambacho hakiruhusiwi kwenye chumba cha mtihani.7.Usiogope swali hata kama lina maelezo marefu.8.Epuka kuangalizia kwa mwenzio/Cheating, tumia akili yako mwenyewe.9.Jitahidi kujibu maswali yote kulingana na maelekezo.10.Ondoa hofu uwapo katika chumba cha mtihani.
11.Tumia muda vizuri.12.Ikiwa umekutana na Vocabulary ngeni, izungushie halafu soma hiyo sentensi taratibu mwanzo hadi mwisho.MUNGU AKUBARIKI SANA.
All Teaching and learning Resources are Available Here:-
TIE Books From Std I to FVI:-
TIE Books Pdf:-
Form Five Joining Instructions 2021:-
NECTA TIME TABLE
Jipatie Masomo Yote Hapa:-
Hesabu zote ziko Hapa:-
Mitihani yote ya Mock na Taifa kuanzia Drs la VII hadi Form VI Iko Hapa:-
Tangazo la Nafasi za Masomo:-
✏️Masomo ya Shule ya Msingi:-
✏️Masomo ya Shule ya Sekondari:-
Habari mbalimbali kuhusu Elimu ziko hapa:-
Email:nsuriicompany@gmail.com,
ubarikiwe sana nsurii
JibuFutaKupata mitihani ya taifa na matokeo ya mitihani tembelea www.maktabatetea.com
JibuFutaPia tembelea www.shuledirect.com, kupata material zaidi
JibuFutahttp://maktaba.tetea.org/
JibuFutaNimeipenda hii
JibuFutaMkopo wa Mkopo kwa hatua yako ya mlango
JibuFutaJe! Unahitaji mkopo wa haraka?
Unahitaji mkopo wa biashara?
Unahitaji mkopo kwa uwekezaji wako?
Unahitaji mkopo kutoa fedha yako tatizo?
Unahitaji mkopo wa kibinafsi?
Unahitaji biashara ya mkopo na mkopo?
Ili kujitambulisha mwenyewe, mimi ni Steven George mwenyekiti binafsi ninawapa mkopo kwa kiwango cha riba 3%. Ni fursa ya kifedha kwenye mlango wako hadi sasa na kupata mkopo wa papo hapo. Kuna wengi huko nje wanatafuta chaguzi za kifedha au kusaidia karibu na mahali na hawana uwezo wa kupata moja, lakini ni fursa ya kifedha kwenye hatua yako ya mlango na hivyo huwezi kukosa fursa hii. Huduma hii ni kwa watu binafsi, makampuni, wafanyabiashara na wanawake. Kiwango cha mkopo kinapatikana kutoka $ 1,000.00 hadi $ 500,000,000.00, au idadi yoyote ya chaguo lako kwa habari zaidi wasiliana nasi kwa: stevengeorge168@gmail.com
Kama kusubiri majibu yako ya haraka,
Kwa heshima, Steven George.
Hi mimi ni WILLIAMS SARAH
JibuFutaJe! Ungetesha mkopaji / mkopo? Je! Unahitaji mkopo? Je! Unahitaji msaada wa kifedha wa haraka? Unahitaji mikopo ya papo hapo ili kulipa madeni yako, au unahitaji fedha ili kuboresha biashara yako? Tunatoa kila aina ya mikopo na viwango vya riba 2% kwa watu binafsi na kampuni yenye masharti na masharti ya wazi. Ikiwa unatoa mikopo yoyote kwa marudio yoyote, tafadhali wasiliana na sisi leo ili kupata mikopo yako leo. Tutumie barua pepe: (williamssarahloanfirm@gmail.com)
Asante
JibuFutasafi nsurii
JibuFutasafi nsurii
JibuFutaKaribu sana
FutaHi, mimi ni Dorcas Alvaro, sasa ninaishi Malaga Hispania. Kwa wakati huu mimi ni mjane mwenye watoto wanne na nilikuwa nimekwama katika hali ya kifedha Mei 2018 na nilihitajika kurekebisha na kulipa bili yangu. Nilijaribu kutafuta mikopo kutoka kwa makampuni kadhaa ya mkopo, wote binafsi na ushirika, lakini kamwe haukufanikiwa, na benki nyingi zilipungua mkopo wangu. Lakini kama Mungu anavyotaka, niliambiwa na mtu wa Mungu, mkopo wa mkopo binafsi ambaye alinipa mkopo wa EUR 80,000 na leo nina biashara na watoto wangu ni nzuri wakati huu, ikiwa unapaswa kuwasiliana na yoyote kampuni kwa kuzingatia kuhakikisha mkopo usio na uhakika, hakuna hundi ya mikopo, hakuna sahihi na kiwango cha asilimia 2 tu na mipango bora ya malipo na ratiba, wasiliana na Mr Simon Finn (simonfinnloan.inc@gmail.com). hajui kwamba ninafanya hivyo, lakini ninafurahi sana sasa na nimeamua kuwa watu watajua zaidi juu yake na pia nataka Mungu ambariki zaidi. Unaweza kumsiliana naye kupitia barua pepe yake: SIMONFINNLOAN.INC@GMAIL.COM..
JibuFutaLOAN OFFER !!!
JibuFutaSisi ni FIRAM LOAM FIRM sisi hutoa wote mrefu na muda mfupi mkopo fedha. Tunatoa mikopo salama na ya siri kwa kiwango cha chini cha riba ya asilimia 2 kwa mwaka, Mikopo ya kibinafsi, Mikopo ya Mkusanyiko wa Madeni, Mkopo wa Uwekezaji, Mkopo wa Biashara, Mkopo wa Mikopo, Mkopo wa Elimu, Mkopo wa Mikopo na Mikopo kwa sababu yoyote!
Sisi ni mbadala inayoaminika kwa fedha za benki, na mchakato wetu wa maombi ni rahisi na moja kwa moja mbele. Mkopo wetu huanzia $ 5,000.00 hadi $ 25, 000,000.00. (Dola milioni ishirini na tano). Maelezo ya ziada: Sisi ni haraka kuwa uchaguzi wa faragha, wa busara, na huduma ya mikopo kwa jumla ya mikopo. Sisi ni kampuni ya kugeuka wakati vyanzo vya mikopo ya jadi kushindwa.
Ikiwa una nia usifanye
usisite kuwasiliana nasi na habari hapa chini kwa barua pepe, diamondloanfirm24@gmail.com
Kudhibiti kwa joto,
Mheshimiwa Matt Philips.
Mkuu, Mikopo Idara ya Maombi,
DIAMOND LOAN FIRM.
Barua pepe: diamondloanfirm24@gmail.com
TAFUTA MFARASHAJI WA MCHANGO
JibuFutaTatua Tatizo lako la Fedha Ndani ya Masaa 24.
Je, wewe ni Mmiliki wa Mshahara au Biashara?
Pata kutoka kwa Euro 1,000 - 200,000, 000 Euro Mikopo ndani ya masaa 24
Suluhisho la Fedha Rahisi.
Kwa Maswali zaidi wasiliana nasi kwa: immaculateloanprovidersltd@gmail.com
Mkurugenzi Mtendaji: Bibi Benjamine
au tembelea tawi letu: Level 29, Tiffany Tower, Jumeirah Lakes Towers Dubai. UAE
Wasiliana nasi kwa: immaculateloanprovidersltd@gmail.com
Asante
Hi, Kim Morse, mwepesha fedha binafsi (Code360)
JibuFutaTunatoa mikopo kwa kiwango cha riba ya 2% kwa mwaka na kwa kiasi cha $ 10,000.00 hadi $ 500,000.00 na € 10,000.00 hadi € 500,000.00 kama kutoa mkopo. Mradi wa 100% unaofadhiliwa na mikopo ya usalama na isiyo salama inapatikana. Tumehakikishiwa kutoa huduma za kifedha kwa wateja wetu wengi ulimwenguni kote. Kwa vifurushi zetu vya mikopo rahisi, mikopo inaweza kusindika na fedha zinahamishiwa kwa akopaye katika siku 2. Tunafanya kazi kwa maneno wazi na inayoeleweka na kutoa mikopo ya kila aina kwa wateja wenye nia, makampuni, watu binafsi na wawekezaji wa mali isiyohamishika. Funga tu fomu hapa chini na kurudi kwetu kupitia barua pepe.
Maelezo ya mtumiaji:
Majina:
Tarehe ya kuzaliwa:
Jinsia.
Hali yangu ya ndoa:
Anwani:
Mji:
na Jimbo / Mkoa:
Namba ya Posta /
Nchi:
Simu:
Barua pepe yangu:
kwa madhumuni ya mkopo:
Kiasi cha mkopo:
Kipindi cha mkopo:
Mapato yako ya kila mwezi:
Wasiliana na afisa wa mkopo kupitia Barua pepe: (Code360optionsloancompany@gmail.com) Na kwa habari, Wasiliana na anwani yetu ya wavuti: Code360optionsloancompany.com
Kind regards,
Bi Kim
Do You Need A Loan To Consolidate Your Debt At 1.0%? SuiteCapitals@gmail.com ( SuiteCapitals@post.com ) Or A Personal Loans * Business Loans etc. Interested Parties Should Contact Us For More Information Through Via E-mail: SuiteCapitals@gmail.com ( SuiteCapitals@post.com )
JibuFutaWe Offers Financial Consulting To Client, SuiteCapitals@gmail.com ( SuiteCapitals@post.com ) Companies Seeking Debt / Loan Financing And Seeking For Working Capital To Start A New Business Or To Expand Existing Business. Interested Parties Should Contact Us For More Information Through Via E-mail: SuiteCapitals@gmail.com ( SuiteCapitals@post.com )
Do You Need A Loan To Consolidate Your Debt At 1.0%? SuiteCapitals@gmail.com ( SuiteCapitals@post.com ) Or A Personal Loans * Business Loans etc. Interested Parties Should Contact Us For More Information Through Via E-mail: SuiteCapitals@gmail.com ( SuiteCapitals@post.com )
We Offers Financial Consulting To Client, SuiteCapitals@gmail.com ( SuiteCapitals@post.com ) Companies Seeking Debt / Loan Financing And Seeking For Working Capital To Start A New Business Or To Expand Existing Business. Interested Parties Should Contact Us For More Information Through Via E-mail: SuiteCapitals@gmail.com ( SuiteCapitals@post.com )
Siku njema,
JibuFutaKutafuta mkopo wa haraka? Wasiliana na UNICREDIT FAST LOAN sasa kwa shughuli yako ya haraka. Ni Rahisi Rahisi na Salama.
INFORMATION CONTACT:
EMAIL: unicreditfastloan@gmail.com
Simu: +17815611941
WHATSAPP: +2348146606842
Shughuli ya mkopo unaweza kuamini.
Are you an individual businessman or a business organisation that wishes to expand in business ??, we offer financial instrument such as BGs, SBLCs,MTNs, LCs, CDs and others on lease and sales at a rate of 4%+2% of the face value and reasonable conditionfrom a genuine provider. You are at liberty to engage our leased facilities into trade programs as well as in signatory project(s) such as Aviation, Agriculture, Petroleum, Telecommunication and any other project(s) etc.
JibuFutaContact : Mr. Raymond Doison
Contact Email: crusaderbroker.bgassurance@gmail.com
skype:crusaderbroker.bgassurance
Whatsapp : +380 50 922 4887
With our financial/bank instrument you can establish line of credit with your bank and/or secure loan for your projects in which our bank instrument will serve collateral in your bank to fund your project.
We deliver with time and precision as set forth in the agreement. Our terms and Conditions are reasonable and we work directly with issuing bank lease providers, this instrument can be monetized on your behalf for upto 100% funding. Intermediaries/Consultants/Brokers are welcome to bring their clients and are 100% protected. In complete confidence, we will work together for the benefits of all parties involved.
All relevant business information will be provided upon request.
BROKERS ARE WELCOME & 100% PROTECTED!!!
If Interested kindly contact me via
Email:~ crusaderbroker.bgassurance@gmail.com
Skype ID:crusaderbroker.bgassurance
serious enquiry only.
Genuine Provider for BG/SBLC(Bank Guarantee/Standby Letter of Credit)
I am Direct Provider's Mandate of BG & SBLC Lease 100% protected.
Asante
JibuFutaNitapataje huo mkopo?
JibuFutaTémoignage d'un prêt entre particulier que je viens d’acquise chez Mme Laurence ,vraiment j'ai risquer ma vie pour trouver mon bonheur. Si votre demande de crédit est acceptée, chez Mme Laurence Nathalie BERTIER vous recevrez un e-mail : laurancebertier@gmail.com pour vous en informer et vous demander de signer électroniquement votre contrat de prêt.
JibuFutaVous recevrez alors la somme d’argent directement sur votre compte bancaire dans les 48h ; le libellé du virement contiendra (en général) Voici mon parcours que j'ai fais avant de trouver mon prêt des 45.000 euro.
Vraiment pour tout vos besoins financièrement je vous pris de la contactez afin qu'elle puisse vous aider à résoudre vos problèmes. Voici son Email: laurancebertier@gmail.com
Témoignage d'un prêt entre particulier que je viens d’acquise chez Mme Laurence ,vraiment j'ai risquer ma vie pour trouver mon bonheur. Si votre demande de crédit est acceptée, chez Mme Laurence Nathalie BERTIER vous recevrez un e-mail : laurancebertier@gmail.com pour vous en informer et vous demander de signer électroniquement votre contrat de prêt.
JibuFutaVous recevrez alors la somme d’argent directement sur votre compte bancaire dans les 48h ; le libellé du virement contiendra (en général) Voici mon parcours que j'ai fais avant de trouver mon prêt des 45.000 euro.
Vraiment pour tout vos besoins financièrement je vous pris de la contactez afin qu'elle puisse vous aider à résoudre vos problèmes. Voici son Email: laurancebertier@gmail.com
JibuFutaHi everyone. I saw comments from people who already got their loan from challot and then I decided to apply under their recommendations and just few hours ago I confirmed in my own personal bank account a total amount of $30,000 which I requested for. This is really a great news and I am advising everyone who needs real loan to apply through their email (challotloan@gmail.com) I am happy now that i have gotten the loan I requested
Congratulations and welcome again madam!!
FutaNafasi za Masomo
JibuFutahttp://nsurii.blogspot.com/2017/05/kikatiti-secondary-school.html