Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba 11, 2020

Hamasa za Maisha

Picha
Hizi ni Nukuu ( Quotes ) zinazoweza kukuhamasisha Katika kufikia ndoto zako, Binafsi hunipa Ari na Moyo wa Kufanya kazi kwa bidii ili kuyatimiza malengo yangu, natumaini  na wewe zinaweza kuwa Kichocheo Kikubwa cha mafanikio kwako pia. 1.Muujiza uliopo kwenye    kufanikiwa ni kuacha    kutamani na kuanza    kutenda. By J. Kweka 2.Usikubali uoga wako    uamue hatima ya maisha    yako. 3.Anguka mara NANE    lakini simama mara    ya  TISA.     Chinese Proveb. 4.Ujasiri siyo Kutokuwepo    kwa HOFU , bali ni    kufanya  kitu ingawa    kuna HOFU . 5.Ukitaka kushindwa    kufika unakokwenda ni    kujaribu kumtupia jiwe    kila mbwa anaye    kubwekea njiani.By    Winston Churchhill. 6.Furaha ya Maisha siyo    kuwa na pesa nyingi, bali    ni kuona pesa yako    inasaidia wale    wasiyojiweza. 7.Usipende kufanya   mambo makubwa sana,   Bali fanya yale   madogomadogo kwa   ufanisi mkubwa. By   St. Theresa of Calcutta. 8.Huwezi Kufanikiwa    mpaka upende kazi ile    unayoifanya.        By Dale  C...