Shakina Pre and Primary English Medium School
Hii ni Shule ya Awali na
Msingi SHAKINA, yenye namba ya usajili AR. 03/7/EA021 & AR. 01/7/021 iliyopo Kikatiti inawatangazia nafasi za
masomo kwa mwaka 2024(DARASA LA AWALI HADI DARASA LA SABA)
NAFASI ZILIZOPO
KWA MWAKA 2024 ni:- Darasa la 1,Darasa la 2,Darasa la 3, Darasa la 4, Darasa la 5, Darasa la 6 na Darasa la 7.UMRI
Watoto wenye umri kuanzia miaka mitatu(3) na kuendelea.
SABABU ZA KUMPELEKA MWANAO SHULE BORA YA SHAKINA!
Hii ni Shule ya Awali na
Msingi SHAKINA, yenye namba ya usajili AR. 03/7/EA021 & AR. 01/7/021 iliyopo Kikatiti inawatangazia nafasi za
masomo kwa mwaka 2024
(DARASA LA AWALI HADI DARASA LA SABA)
Darasa la 1,
Darasa la 2,
Darasa la 3, Darasa la 4, Darasa la 5, Darasa la 6 na Darasa la 7.
UMRI
Imesajiliwa na wizara ya elimu na kupewa usajili wa kudumu.
Ni shule yenye misingi imara kufundisha kwa mfumo wa kiingereza.
Ni shule bora yenye walimu wazuri kitaaluma na maadili mema.
Ni shule yenye uongozi imara wa kusimamia mitaala ya elimu.
Ni shule inayotilia mkazo taaluma na maadili mema.
Ada ni ya kiwango kidogo sana na ni nafuu sana.
Shule ina usafiri mzuri wa uhakika wa gari (school bus) kutoka mahali popote.
WAHI
SASA, HUJACHELEWA!!!
Shule ipo Kikatiti, Magharibi mwa Mnada wa Kikatiti.
Kwa maelezo zaidi tafadhali karibu shuleni au tupigie:-simu namba:-
- 0755368833,
- 0743744002,
- 0757744070.
Matokeo ya Darasa la VII Mwaka 2023:-Matokeo ya Darasa la Saba 2022:-Matokeo ya darasa la nne 2021:-Matokeo ya darasa la saba 2021
Matokeo ya darasa la saba 2020Matokeo ya darasa la saba 2019Matokeo ya darasa la saba 2018
..........................................
TANGAZO LA AJIRA1.Accountant:- Hi, we are looking for the school bursar. certificate in accounting is required. Shakina Pre & Primary School-Kikatiti Arusha. Deadline 28/2/2022.Apply via whatsap 0620438086.
2.Teaching Post:-
Shakina English Medium inatangaza nafasi za
ajira ya ualimu kwa mwalimu wa
English na Mathematics,
Kwa mwalimu yeyote mwenye sifa hizo
atume maombi kwa barua pepe
hii Au:
............................................
Tangazo hili Limeandaliwa na Mwalimu Joachim Kweka, na Kuletwa kwako kwa Udhamini wa:"http://nsurii.blogspot.com"
- 0755368833,
- 0743744002,
- 0757744070.
Matokeo ya Darasa la VII Mwaka 2023:-
Matokeo ya Darasa la Saba 2022:-
Matokeo ya darasa la nne 2021:-
Matokeo ya darasa la saba 2021
Matokeo ya darasa la saba 2020
Matokeo ya darasa la saba 2019
Matokeo ya darasa la saba 2018
..........................................
Shakina English Medium inatangaza nafasi za
ajira ya ualimu kwa mwalimu wa
English na Mathematics,
Kwa mwalimu yeyote mwenye sifa hizo
atume maombi kwa barua pepe
hii
Hongereni walimu kwa matokeo mazuri ya darasa la SABA kwa mwaka 2020. Mungu awabariki Sana.
JibuFutaHongerini waalimu na uongozi kwa ujumla na mungu azidi kuwatia nguvu amina
JibuFutaAsante na karibu sana
FutaHongerini waalimu na uongozi kwa ujumla na mungu azidi kuwatia nguvu amina
JibuFutaHongerini waalimu na uongozi kwa ujumla na mungu azidi kuwatia nguvu amina
JibuFutaHongera sana mkuu, kwa jitihada hizi naiona shakina secondary school soon
JibuFutaHongereni Sana uongozi na walimu wote kwa ujumla.
JibuFutaMnafanya kazi nzuri Sana.
Taaluma mko vizuri.
JibuFutaMazingira yanavutia mno.
Hongereni Sana Shakina.
Asanteni sn wapendwa
JibuFutaHongereni sana walimu kwa matokeo mazuri ya darasa la nne 2021. Hakika kazi yenu inaonekana.
JibuFuta