Ujasiria mali na Maisha
Wewe ni mjasiria mali? Au ungependa kuwa mjasiriamali? kama wewe ni mjasiriamali au ungependa kujifunza ujasiria mali tafadhali fuatilia ukurasa huu ili unufaike zaidi kuhusu ujasiria mali na maisha kwa ujumla.
Lakini wachumi wao wana maana zaidi ya hii.
Kukabiliana na vikwazo vya biashara endapo kuna uwezekano wa kupata faida. Kwa wengine ni kuwa na uwezo wa kukwepa vikwazo vya biashara ili ufanikishe biashara yenye faida.
Pia wengine wamemuelezea mjasiriamali kama ni mtu mbunifu mwenye uwezo wa kuuza ubunifu wake.
Wachumi wengine wameendelea kumuelezea mjasiriamali kama mtu mwenye kuleta bidhaa au huduma za kibunifu kwenye soko ambazo hazijawahi kuwepo.
Katika karne ya 20, mchumi mmoja kwa jina Joseph Schumpeter (1883-1950) alifafanua kuwa mjasiriamali ni mtu mwenye kuleta ubunifu na maboresho yenye kuleta sio tu hamasa bali pia kuwa kichocheo cha mabadiliko.
Joseph Schumpeter aliendelea kumuelezea mjasiriamali kama “mbunifu mharibifu” maana yake ni kwa kuwepo wajasiriamali na bidhaa au huduma zake, viwanda, huduma au bidhaa dhaifu na za zamani zilikufa na kutoweka kabisa kwenye soko.
Mfanyabiashara mtaalamu, Peter Drucker (1909-2005) alielezea wazo hili kwa mapana
UJASIRIA MALI NA MAISHA
Neno ujasiriamali lilianza kutumika miaka ya 1700 likiwa na maana ya kawaida ya kuanzisha biashara. Lakini wachumi wao wana maana zaidi ya hii.
Kukabiliana na vikwazo vya biashara endapo kuna uwezekano wa kupata faida. Kwa wengine ni kuwa na uwezo wa kukwepa vikwazo vya biashara ili ufanikishe biashara yenye faida.
Pia wengine wamemuelezea mjasiriamali kama ni mtu mbunifu mwenye uwezo wa kuuza ubunifu wake.
Wachumi wengine wameendelea kumuelezea mjasiriamali kama mtu mwenye kuleta bidhaa au huduma za kibunifu kwenye soko ambazo hazijawahi kuwepo.
Katika karne ya 20, mchumi mmoja kwa jina Joseph Schumpeter (1883-1950) alifafanua kuwa mjasiriamali ni mtu mwenye kuleta ubunifu na maboresho yenye kuleta sio tu hamasa bali pia kuwa kichocheo cha mabadiliko.
Joseph Schumpeter aliendelea kumuelezea mjasiriamali kama “mbunifu mharibifu” maana yake ni kwa kuwepo wajasiriamali na bidhaa au huduma zake, viwanda, huduma au bidhaa dhaifu na za zamani zilikufa na kutoweka kabisa kwenye soko.
Mfanyabiashara mtaalamu, Peter Drucker (1909-2005) alielezea wazo hili kwa mapana
kuwa, mjasiriamali ni mtu anayepeleleza mabadiliko, kwa kuwa na mwitikio wa haraka na kuhatamia fursa zilizopo katika mabadiliko. Mfano wa hili ni mabadiliko yaliyotokea katika sekta ya mawasiliano kutoka typewriter kwenda kompyuta nk.
Wachumi wengi leo hii wanaamini kuwa Ujasiriamali ni moyo na kichocheo katika kukua kwa chumi za nchi mbalimbali duniani.
Mjasiriamali anaweza kutokea katika hali yoyote, msomi au sio msomi, mhandisi, mwanasheria, mwalimu, mchungaji au shekhe nk.
Ubunifu ni tendo la kuwa na wazo/ndoto/maono na kuyageuza kuwa mradi wa ukweli wa kutatua matatizo ya jamii na kutegemewa na jamii
Ni tendo la kuleta wazo jipya kuwa mradi hai
Kuthibiti mazingira yako – Proactive
Ni kuweza kuyadhibiti mazingira hali zinazokuzunguka pamoja na kuchukua hatua kabla ya uharibifu au madhara kutokea
Kuanzisha biashara.
Tendo la kubuni na kufanya biashara yeyote iliyo rasmi au isiyo rasmi
Kuthubutu – Kukabiliana vikwazo
Kuwa na utayari wa kufanya jambo hata kama kuna vikwazo na hatari nyingi mbeleni zilizo ndani ya uwezo wa mhusika
Uwezo wa kukwepa vikwazo vya biashara
Uwezo wa kuchukua mpango mbadala ili kutojiingiza kwenye hatari zilizo nje ya uwezo wako
Kuleta bidhaa au huduma za kibunifu /Kuleta ubunifu na maboresho
Kuingiza kwenye soko huduma au bidhaa zenye sio kukidhi hitaji la soko tu bali pia kuhimili ushindani wa soko
Kichocheo cha mabadiliko.
Uwezo wa kuleta vitu vipya kila mara zenye kubadilisha mfumo wa maisha na jinsi watu wanavyoamini, waza, ona na kuishi
Anayepeleleza mabadiliko,
Uwezo wa kufanya tafiti na kuyachambua kwa ajili ya kuchukua hatua muafaka na kwa wakati muafaka
Kuhatamia fursa
Uwezo wa kuziona na kuwa wa kwanza kuchukua hatua kwa jambo lolote lenye tija kwako na kwa uma wote
Wachumi wengi leo hii wanaamini kuwa Ujasiriamali ni moyo na kichocheo katika kukua kwa chumi za nchi mbalimbali duniani.
Mjasiriamali anaweza kutokea katika hali yoyote, msomi au sio msomi, mhandisi, mwanasheria, mwalimu, mchungaji au shekhe nk.
Tafsiri ya maneno muhimu:-
Ugunduzi
Kuleta wazo jipya au bidhaa mpya kabisa kwenye soko. Ubunifu
Kuboresha – Innovation Ubunifu ni tendo la kuwa na wazo/ndoto/maono na kuyageuza kuwa mradi wa ukweli wa kutatua matatizo ya jamii na kutegemewa na jamii
Ni tendo la kuleta wazo jipya kuwa mradi hai
Kuthibiti mazingira yako – Proactive
Ni kuweza kuyadhibiti mazingira hali zinazokuzunguka pamoja na kuchukua hatua kabla ya uharibifu au madhara kutokea
Kuanzisha biashara.
Tendo la kubuni na kufanya biashara yeyote iliyo rasmi au isiyo rasmi
Kuthubutu – Kukabiliana vikwazo
Kuwa na utayari wa kufanya jambo hata kama kuna vikwazo na hatari nyingi mbeleni zilizo ndani ya uwezo wa mhusika
Uwezo wa kukwepa vikwazo vya biashara
Uwezo wa kuchukua mpango mbadala ili kutojiingiza kwenye hatari zilizo nje ya uwezo wako
Kuuza ubunifu
Uwezo wa kuwaambia wengine (wateja) mambo unayoweza kuyafanya ambayo wao wanayahitaji au uwezo wa kuweza kuwaambia wengine (wateja) bidhaa ulizo nazo ambazo wao wanazihitaji Kuleta bidhaa au huduma za kibunifu /Kuleta ubunifu na maboresho
Kuingiza kwenye soko huduma au bidhaa zenye sio kukidhi hitaji la soko tu bali pia kuhimili ushindani wa soko
Kichocheo cha mabadiliko.
Uwezo wa kuleta vitu vipya kila mara zenye kubadilisha mfumo wa maisha na jinsi watu wanavyoamini, waza, ona na kuishi
"Mbunifu mharibifu"
Uwezo wa kuleta kwenye soko bidhaa au huduma bora ambazo zina uwezo wa kuziondoa na kuziua huduma na bidhaa hafifu kwenye soko. Anayepeleleza mabadiliko,
Uwezo wa kufanya tafiti na kuyachambua kwa ajili ya kuchukua hatua muafaka na kwa wakati muafaka
Kuhatamia fursa
Uwezo wa kuziona na kuwa wa kwanza kuchukua hatua kwa jambo lolote lenye tija kwako na kwa uma wote
Moyo wa kichocheo
Kuwa chanzo cha mabadiliko yoyote yenye tija.
ILI KUWA MJASIRIA MALI SOMA HAPA
Kama Wewe Ni Mfanyakazi, Mkulima Au Mfanyabiashara Soma Kitabu Hiki Cha
Gundua Siri Ya Kupata Wazo La Biashara.
Siri 12 Za Kupata Mawazo Ya Biashara.
Sehemu ya Kwanza
Umefichwa Kwa Muda Mrefu. Na Wafanyabiashara Wengi Waliofanikiwa Hawapendi Uifahamu Siri hii Wakati Wa Kuwa Na Biashara Yenye kukuletea Mafanikio Sasa Umewadia, Makala Hii Ni Mkombozi Wako katika safari hii kuu ya Ujasiriamali.
Makala hii Imeandaliwa na na: Felix Maganjila na kuletwa kwako na Joachim Kweka.
Utangulizi
Tunashindwa kuongeza kipato kwa sababu ya uchaguzi mmbaya wa wazo la biashara. Tunapoendelea kuchagua wazo baya la biashara kila tunapoanzisha biashara mpya, tunaendelea kupoteza pesa zetu za mtaji, kufadhaika, kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Kukata tamaa huku kunatokana na kujua sasa tunaelekea kukosa kipato cha kukidhi mahitaji yetu ya kila siku. Hii inasababishwa zaidi kwa kukosa ufahamu wa jinsi ya kupata mawazo ya biashara. Sasa badala ya kukurupuka na kuanza biashara bila kufahamu hatua muhimu za kupata mawazo ya biashara, ni muhimu kuzifahamu hatua za kupata mawazo ya biashara na kuzitumia kuhakikisha unafanikiwa kibiashara. Zifuatazo ni mbinu unazo weza kutumia kupata wazo lako la biashara, nazo ni hizi.
Siri ya Kwanza
Siri Ya Kwanza Angalia matatizo katika jamii. Biashara huanzishwa kwa lengo la kutatua matatizo Fulani katika jamii. Matatizo hayo yanaweza kuwa ni MAHITAJI au MATAKWA. Watu wapo tayari kulipia huduma au bidhaa zinazotatua matatizo yao,
MAHITAJI au MATAKWA yao. Mfano: kama kunatatizo la maji, unaweza kuchimba kisima na kuwauzia wananchi maji. Kama wananchi ni wafugaji kuna uwezekano mifugo ikapata magonjwa, kwa hiyo unaweza kuanzisha biashara ya kuuza madawa ya mifugo. Kama usafiri ni mgumu, basi unaweza kuanzisha huduma ya usafiri. Kwa hiyo kama wewe ni mfanyabiashara ni muhimu kutafiti kujua MATATIZO jamii inayopata na kuyageuza Biashara.
MAHITAJI au MATAKWA yao. Mfano: kama kunatatizo la maji, unaweza kuchimba kisima na kuwauzia wananchi maji. Kama wananchi ni wafugaji kuna uwezekano mifugo ikapata magonjwa, kwa hiyo unaweza kuanzisha biashara ya kuuza madawa ya mifugo. Kama usafiri ni mgumu, basi unaweza kuanzisha huduma ya usafiri. Kwa hiyo kama wewe ni mfanyabiashara ni muhimu kutafiti kujua MATATIZO jamii inayopata na kuyageuza Biashara.
Siri ya Pili
Siri Ya Pili Angalia Soko. Angalia ni biashara gani zipo hapo mtaani au eneo unapotaka kuanzisha biashara yako. Ukiona kuna biashara nyingi mahali Fulani ujue mahitaji ya eneo hilo pia ni makubwa. Katika mazingira kama haya, unatakiwa kwanza kufanya utafiti kujua kuna mapungufu gani katika utoaji wa huduma, halafu wewe ukianzisha biashara yako uhakikishe kuwa biashara yako inaboresha na kuondoa mapungufu yaliyopo kwenye biashara zilizopo. Mfano: Duka la rejareja linatoa huduma mbaya kwa wateja, kauli mbovu, kuchelewa kufungua, kuwahi kufunga n.k. Ukiweza kuyaondoa mapungufu hayo, kuna uwezekano ukavutia wateja wengi kwenye biashara yako.
Siri ya Tatu
Soma Vitabu/Majarida/ Magazeti .Ni vizuri kusoma vitabu mbalimbali, hususani vinavyozungumzia biashara. Kuna uwezekano unaposoma vitabu, haswa watu wanaofanya biashara au walifanya biashara hapo nyuma, ukapata mawazo kadhaa ya biashara. Pia ukiwa mpenzi wa kusoma majarida na magazeti mbalimbali, unaweza ukakutana na kitu kikakuvutia nawe ukaamua kukianzisha kama biashara.
Mfano: kwa kusoma gazeti la urembo unaweza kupata wazo la kuanzisha saluni ya akina mama, kuuza vipodozi, kushauri akina mama jinsi ya kuwa warembo, kuuza mavazi, kuanzisha shule ya urembo n.k.
Siri ya Nne
Kusikiliza Radio na Kuangalia TV.
Baadhi ya vipindi vya radio na TV, huongelea changamoto mbalimbali wananchi wanazopata, ukiwa kama mfayabiashara, changamoto hizi unaweza kuzigeuza kuwa fursa za kibiashara. Pia katika vipindi vya radio na TV, huwa wanazungumzia mambo ya maendeleo katika vijiji, wilaya, mikoa, nchi na hata mabara. Katika mazungumzo hayo unaweza ukapata wazo Fulani la kibiashara na kukusaidia kuanzisha biashara.
TV na redio pia huzungumzia wafanyabiashara waliofanikiwa katika maisha. Unaweza ukapata mawazo mazuri ya kibiashara ukisikia watu waliofanikiwa wakielezea historia ya maisha yao kibiashara. Kwa ujumla kwa kusikiliza vipindi vya TV na redio, hata kama havihusiani na biashara, kunauwezekano pia wa kupata wazo la kibiashara.
Siri ya Tano
Kusafiri.
Unaposafiri mahali Fulani, kuna uwezekano ukakutana na mawazo mapya. Mawazo haya yanaweza kupelekea kupata biashara ya kufanya. Ukiwa safarini unaweza kuona aina Fulani ya bidhaa au huduma ambayo haipo unapotoka, lakini ukaona kuwa kuna uwezekano wa biashara hiyo kuanzishwa unakotoka. Inashauriwa mara nyingi ukawa na kijitabu kidogo ambacho utakitumia kuandika mawazo unayopata ukiwa safarini. Pia inashauriwa ukawa na camera au ukatumia simu yako kupiga picha au kuchukua video matukio au vitu unavyoona vyawezwa kugeuzwa biashara punde unaporejea safarini.
Siri ya Sita
Mahali pa kazi. Kunawatu walioajiriwa ambao hutamani kufanya biashara pia. Hutamani kufanya hivyo wakiwa kazini. Kazini mara nyingi kuna fursa, waweza kuangalia Mahitaji na matakwa na ukaanzisha biashara kama haitokinzana na sheria za hapo kazini kwako. Mfano: Nimeshaona watu wengi wanafanya biashara ya kuuza chakula, nguo, viatu, urembo n.k wakiwa makazini. Wateja wao wa awali huwa ni wafanyakazi wenzao. Kwa wale ambao wanampango wakuacha kazi, kama una ujuzi,uzoefu, na elimu unaweza kufikiria kuwauzia punde unapoacha kazi. Mfano: Labda umekuwa katika kitengo cha uajiri na mafunzo. Kwa muda mrefu umekuwa ukiajiri na kufundisha hapo kazini kwako. Unapoacha kazi, mwajiri wako wa zamani anaweza kusema uwe unakuja kutoa huduma pale wanapokuhitaji. Inapotokea hivyo, kwako ni fursa ya kuanzisha biashara kumlenga yeye, pia na wateja wengine wanao hitaji huduma kama hiyo.
Siri ya Saba
Ujuzi/Elimu/Uzoefu.
Ujuzi, uzoefu na Elimu vyaweza kuwa ni vyanzo vya mawazo ya biashara. Watu wengi wamefanikiwa kutengeneza huduma na bidhaa kutokana na Ujuzi, Elimu au Uzoefu wao na kupata mafanikio katika soko. Ujuzi huwa na chanzo kikubwa cha mawazo ya biashara. Mfano: Watu wengi waliojifunza ufundi seremala, wameweza kuanzisha biashara ya uuzaji wa mbao, kilimo cha miti ya mbao, utengenezaji na uuzaji wa fenicha, upauaji wa mapaa ya majengo, vifaa vya ujenzi, vyuo vya ufundi seremala n.k. Elimu pia huwa chanzo cha wazo la biashara mfano: mtu aliyesomea masoko anaweza kuwa mshauri wa biashara, mtafiti wa mambo ya masoko, kuanzisha chuo kufundisha mambo ya biashara na masoko, kuwa wakala wa uuzaji wa bidhaa na huduma za watu wengine, gazeti la biashara na masoko n.k. Uzoefu pia ni chanzo kizuri: mfano, kama umefanya kazi ya kuajiriwa kwa muda kama mfagizi katika ofisi, waweza kuanzisha kampuni ya usafi kwa ajili ya kutoa huduma katika makampuni. Unaweza kuanzisha huduma ya mafunzo kwa wenye kampuni za usafi, ukauza sabuni za kusafishia sakafu, madirisha n.k.
Ujuzi, uzoefu na Elimu vyaweza kuwa ni vyanzo vya mawazo ya biashara. Watu wengi wamefanikiwa kutengeneza huduma na bidhaa kutokana na Ujuzi, Elimu au Uzoefu wao na kupata mafanikio katika soko. Ujuzi huwa na chanzo kikubwa cha mawazo ya biashara. Mfano: Watu wengi waliojifunza ufundi seremala, wameweza kuanzisha biashara ya uuzaji wa mbao, kilimo cha miti ya mbao, utengenezaji na uuzaji wa fenicha, upauaji wa mapaa ya majengo, vifaa vya ujenzi, vyuo vya ufundi seremala n.k. Elimu pia huwa chanzo cha wazo la biashara mfano: mtu aliyesomea masoko anaweza kuwa mshauri wa biashara, mtafiti wa mambo ya masoko, kuanzisha chuo kufundisha mambo ya biashara na masoko, kuwa wakala wa uuzaji wa bidhaa na huduma za watu wengine, gazeti la biashara na masoko n.k. Uzoefu pia ni chanzo kizuri: mfano, kama umefanya kazi ya kuajiriwa kwa muda kama mfagizi katika ofisi, waweza kuanzisha kampuni ya usafi kwa ajili ya kutoa huduma katika makampuni. Unaweza kuanzisha huduma ya mafunzo kwa wenye kampuni za usafi, ukauza sabuni za kusafishia sakafu, madirisha n.k.
Siri ya Nane
Kuzungumza na watu. Kuzungumza na watu mbalimbali kunaweza kukusaidia kupata wazo la biashara. Katika maongezi waweza kumuuliza aina ya biashara anayofikiri inafaa kuanza, waweza kumuuliza yeye binafsi kuna vitu gani vinamkera kwenye jamii na angependa virekebishwe, matatizo gani anayaona watu wanapata katika jamii n.k.
Siri ya Tisa
Kuhudhuria Semina. Kama unatabia ya kuhudhuria semina za biashara utagundua kuwa huwa unapata mawazo mapya kila wakati uhudhuriapo. Kuwa makini watu wanapochangia mawazo kutokana na uzoefu wa biashara zao. Ukiwa makini waweza kugundua fursa zilizopo katika biashara zao na ukapata wazo la biashara. Wakati mzuri zaidi ni pale watu wanapojitambulisha, wanapoelezea changamoto zao na walivyozitatua, mafanikio na malengo yao ya baadae. Pia tumia fursa yako ya kuhudhuria semina kwa kuongea na washiriki wengine. Tayarisha maswali mbalimbali ya kuwauliza hususani wale ambao biashara zao au wenyewe wamekuvutia.
Siri ya Kumi
Ongeza dhamani kwenye huduma au bidhaa unayotoa.
Unaweza kupata wazo jipya kwa kuongeza dhamani ya bidhaa au huduma yako na kufanya biashara. Mfano: kama biashara yako ni kuuza mpunga unaweza kuamua kuukoboa mpunga wako na kuuza kama mchele. Baada ya hapo unaweza pia ukaamua badala ya kuuza mchele kwenye magunia ukaamua kufungasha kwenye mifuko ya kilo 1,2,5 n.k nakuamua kuwauzia walaji moja kwa moja. Pia kama unauza mchele, basi waweza kuamua kuanzisha mgahawa ukauza wali. Pia waweza kutengeneza vitumbua kwa kutumia mchele.
Unaweza kupata wazo jipya kwa kuongeza dhamani ya bidhaa au huduma yako na kufanya biashara. Mfano: kama biashara yako ni kuuza mpunga unaweza kuamua kuukoboa mpunga wako na kuuza kama mchele. Baada ya hapo unaweza pia ukaamua badala ya kuuza mchele kwenye magunia ukaamua kufungasha kwenye mifuko ya kilo 1,2,5 n.k nakuamua kuwauzia walaji moja kwa moja. Pia kama unauza mchele, basi waweza kuamua kuanzisha mgahawa ukauza wali. Pia waweza kutengeneza vitumbua kwa kutumia mchele.
Siri ya Kumi na Moja
Mtandao wa kompyuta (Intaneti). Intaneti ni chanzo kizuri sana cha kupata habari na taarifa mbalimbali. Pia ni chombo kizuri sana cha utafiti. Ukiwa kwenye intaneti waweza kutembelea tovuti kama:
http://www.google.co.tz, http://www.yahoo.com, http://www.msn.com,
http://www.jifunzeujasiriamali.com
na http://nsurii.blogspot.com
na ukaweza kupata wazo la biashara. Kwa sababu tovuti hizo ni kwa ajiri ya utafiti pia, waweza kuandika neno “Jinsi ya kupata mawazo ya biashara”. Ukishaandika, utaletewa majibu mengi ambayo unaweza kuyatumia kupata mawazo mbalimbali ya biashara. Pia kama wafahamu lugha ya kiingereza waweza kuandika “How to get business ideas” au “Best business ideas n.k. Tumia vichwa vya habari vingi uwezavyo. Ukishapata majibu, yaandike kwenye kitabu kwa lengo la kuyafanyia uchambuzi yakinifu na uweze kuchagua wazo lililo sahihi kwa wewe kuanzisha biashara.
Siri ya Kumi na Mbili
Andika kitu, Hii ni njia ya kufikiri jambo au kitu, nakuangalia biashara unayoweza kufanya. Inakuwa bora zaidi kama utachagua kitu unachokipenda, unaujuzi nacho, uzoefu nacho au elimu nacho. Mfano: Kama unapenda sana kula machungwa waweza kupata mawazo kwa kujiuliza swali lifuatalo: “Je? Nitaweza kupata wazo gani hapa” halafu orodhesha bila kuhukumu mawazo yako. Andika “Chungwa” halafu andika biashara unazoweza kupata kutokana na chungwa mfano:
i. Juice
ii.Kulima
iii.Kusafirisha
iv. Kuuza kwa jumla
v.Kuuza rejareja
vi.Majani ya machungwa
vii. Pipi ya chungwa
viii.Meza ya kupanga machungwa
ix.Mbegu za machungwa
x.Dawa ya kuua wadudu washambuliayo miti ya michungwa
xi.Ushauri kwa wale wanaolima machungwa n.k.
Nakushukuru kwa kusoma mpaka hatua hii. Ninaamini kabisa una lengo la kupata mawazo mazuri ya biashara. Mawazo haya yatakusaidia wewe kupelekea kupata wazo ambalo litakuwezesha kuanzisha biashara yako: Mpaka hapa kusudi uweze kufanikiwa kupata wazo, nakushawishi Uandike mawazo kumi ya biashara Katika kila lifuatalo:
Nakushukuru kwa kusoma mpaka hatua hii. Ninaamini kabisa una lengo la kupata mawazo mazuri ya biashara. Mawazo haya yatakusaidia wewe kupelekea kupata wazo ambalo litakuwezesha kuanzisha biashara yako: Mpaka hapa kusudi uweze kufanikiwa kupata wazo, nakushawishi Uandike mawazo kumi ya biashara Katika kila lifuatalo:
i.Tafiti matatizo katika jamii, na andika mawazo 10 ya biashara.
ii.Angalia Soko na andika mawazo 10 ya biashara iii.Soma Vitabu/Majarida/Magazeti na andika mawazo 10 ya biashara
iv.Sikiliza Radio na angalia TV na andika mawazo 10 ya biashara
v.Unaposafiri, andika mawazo 10 ya biashara vi.Katika mahali pako pa kazi, andika mawazo 10 ya biashara.
vii.Angalia Ujuzi/Elimu/Uzoefu/Zungumza na watu, na andika mawazo 10 ya biashara viii.Ongeza dhamani kwenye huduma au bidhaa unayotoa, na andika mawazo 10 ya biashara ix.Ingia ndani ya mtandao wa komputa (Intaneti), na andika mawazo 10 ya biashara
x.Andika kitu, zoezi hili pia likupe mawazo 10 ya baishara.
xi.Kuchanganua mawazo yako, na kuweza kupata wazo moja utakalolifanyia biashara: Baada ya kupata mawazo kumi katika kila siri moja, inakubidi ufuate hatua 5 kusudi ikusaidie upate mawazo MAKUU MATATU 1. Baada ya kupata mawazo MAKUU MATATU, inabidi ufuate HATUA 10 ya kukuwezesha upate wazo moja ambalo litakusaidia kuwa wazo moja kuu, ambalo utalifanyia biashara. Kwa ushauri na mafunzo yanayohusu biashara yenye lengo la kukusaidia uanzishe biashara na ukuze biashara yako. Pia wasiliana na Mwalimu Joachim Kweka, kwa ushauri zaidi wa kibiashara.
Mawasiliano:
Email: nsuriicompany@gmail.com,
Simu: 0753775158
Simu: 0753775158
Pia waweza Sapoti kazi zetu kwa kutuma kiasi chochote cha hela kwenye namba zifuatazo:-
Voda: 0753775158, Tigo: 0719775158 na Halotel: 0629605158.
Majina ni JOACHIM KWEKA.
NAWATAKIENI MAFANIKIO MEMA KIBIASHARA.
Yote haya Unayapata Kwenye Tovuti hii:
Pia kwenye Chaneli yetu ya YouTube kwa jina la "nsuriiTv" ili unufaike zaidi.
HIZI NDIZO SIRI 39 ZA KUWA MILIONEA.
2. Tumia kipaji chako.
wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.
29. Pokea ushauri kwa watu hasa kuhusiana na biashara yako - waulize watu kuhusu huduma yako ya biashara wanaionaje na fanyia kazi ushauri wao.
30. Kuwa na plani katika kazi zako kila siku.
Watu walioendelea waliweka akiba, punguza vitu unavyofanya visivyo vya maana au visivyo na umuhimu, punguza kutoka sana na kutumia pesa kwa starehe, fanya mambo ya muhimu tu acha kununua vitu ambavyo hauvihitaji, anza kwa kuweka akiba kidogo kidogo, ukiweka akiba nyingi ndiyo utaweza kuwekeza zaidi. wasichana wengi wanatabia ya kununua vitu wasivyo vihitaji kama viatu vingi,Nguo,Mikoba na vifaa vya Urembo. Jiwekee kiwango cha wastani kulingana na mahitaji yako.
Kutana na Watu wenye Utaalamu,
4. Ukosefu wa Elimu bora , hiki ni kiashiria kingine cha umaskini cha nne. 5. Kunapokuwa na huduma mbaya za jamii kaama hospitali, miundo mbinu na hata mawasiliano mabovu hiki ni kiashira cha tano cha umaskini.
“ risk taker” mjasiriamali anayeogopa hasara mara nyingi hafanikiwi maana hasara ni sehemu ya mradi unapothubutu maana yake una uwezo mkubwa kufanya maamuzi na pia unaheshimu maamuzi yako.
Tathmini ya wazo lako la biashara au mradi, tathmini ya kina ya mahitaji ya soko ambalo biashara au miradi yako italenga, Tathmini ya kina ya bidhaa zako za huduma zako, Tathmini ya kina na jinsi bidhaa yako/huduma yako itakavyokidhi mahitaji ya soko ulilolenga, fikiria na ufafanue walengwa/watumiaji wa bidhaa au huduma zako. Tathmini taratibu za kisheria na kiutawala kuhusu biashara au unayotaka kuanzisha.
( ni mapato na matumizi kiasi gani katika mwaka wa kwanza, mwaka wa pili , wa tatu na wa nne)? Unahitaji mtaji wa kiasi gani ( kiasi gani cha fedha unachohitaji kuwekeza) katika mwaka wa kwanza, wa pili na wa tatu na wan ne ili kuendesha biashara yako? Utawezaje kupata kiasi hicho cha mtaji? Je ni kwa kuanza kuweka akiba katika benki au kuomba mkopo na kwa ghrama gani? Je mchango wako katika mtaji ni kiasi gani? Je mradi wako unaweza ukabeba gharama zinazotakiwa kiuendeshaji na bado ukazalisha faida?
(joint venture) unaweka mtaji pamoja njia hii wanatumia makampuni makubwa NICOL, CRDB, NMB, Cement Company, Sigara Company.
Tatu; kuwa na marafiki wenye hekima.
4. Kusaidia kuchanganua habari.
4. Kubali ukweli unapopata faida au hasara
13. Ni lazima mjasiriamali aoneshe mpango kazi wake na jinsi atakavyofikia malengo yake “strategic business or project plan” na muundo wa uendeshaji “Project administration chart”
Jipatie Mawazo ya Ujasiriamali Hapa:-
Ukitaka kufanikiwa kuwa Ndege, ajiri Vyura:-
UNATAKA KUWA MILIONEA?
Soma hapa ujifunze namna ya kuwa milionea
HIZI NDIZO SIRI 39 ZA KUWA MILIONEA.
Siri za kuwa milionea ni hizi hapa
1. Tafuta fursa kila kona.
2. Tumia kipaji chako.
3. Kuwa na nidhamu
katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu
wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.
4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk.
5. Usipoteze muda - jali muda kuliko kitu chochote kwani muda ndio kila kitu, muda ni mali.
6. Shiriki kwenye makongamano au semina mbalimbali za ujasiriamali.
7. Kuwa na vyanzo vingi vya kukuletea kipato.
8. Tafuta maarifa kwa mamilionea mbalimbali duniani - soma historia za mamilionea jinsi walivyofanikiwa.
9. Jenga urafiki na taasisi za kifedha - mamilionea wengi hukopa fedha kutoka katika taasisi za kifedha - tembelea taasisi za fedha watakupa ushauri mbalimbali na watakupa mkopo, usisikilize maneno ya watu kuwa taasisi za pesa ni za watu matajiri hiyo sio kweli.
10. Kuwa na shauku, kuwa na fikra za kuwa milionea na wewe utakuwa.
11. Kuwa na imani kwamba utakuwa milionea na itakuwa hivyo.
12. Wekeza katika miradi au biashara mbalimbali.
13. Wekeza sehemu yenye mahitaji ya bidhaa inayotakiwa kuzalishwa - angalia fursa hapo ulipo na wekeza.
14. Kuwa na bajeti katika mapato na matumizi yako.
15. Chunguza jamii yako wanakosa bidhaa gani kisha dili na bidhaa hiyo nawe utakuwa milionea.
16. Kuwa na wazo (Business idea): mamilionea wengi hutumia mawazo kutoka kwa watu mbalimbali kutengeneza pesa. Wazo ndio cheti cha kuwa milionea anza sasa fanyia kazi wazo lako ili kukuletea fedha.
17. Fanya vitu wewe mwenyewe - acha kufanya vitu kama fulani, usiige mtu, buni vya kwako, mamilionea huwa hawaigi, ukiwa mkweli kwako utakuwa mkweli kwa watu.
18. Kuwa na malengo - kumbuka hakuna maendeleo pasipo na malengo, fahamu hilo.
19. Kuwa na moyo wa ujasiri - usiogope kushindwa jitahidi katika kupambana na maisha usikubali kubezwa au kuvunjwa moyo. Ukianguka nyanyuka tena, usifikirie kutakuwa na mtu wa kukusaidia zaidi ya kujisaidia mwenyewe.
20. Kuwa karibu na matajiri -usiogope kwani hao ni binadamu kama wewe, jaribu kuwadadisi ili wakupe mbinu mbalimbali za kuwa tajiri hadi milionea. Ukiwa karibu nao unaweza ukapata nafasi ya kazi au kukuunganishia biashara ukaanza kufanya na kufanikiwa.
21. Mtangulize Mungu -mwabudu, msifu, mtolee zaka na sadaka, saidia masikini, wajane, wagonjwa, jenga nyumba za ibada. Mungu ndio kila kitu mtegemee yeye.
22. Fanya vitu kitofauti; fanya vitu vigeni, muonekano tofauti ingawa biashara ni ile ile, tumia lugha tofauti, panga bei tofauti, nk. Mfano aina tofauti za simenti, chupa za soda na juisi nk.
23. Acha woga - jaribu biashara yoyote, woga wako ndio umasikini wako, usiogope kukosolewa unapokosolewa ndio unajifunza. Usiogope mikopo, mamilionea wengi hufanya mambo ambayo wewe unayaogopa.
24. Kuwa na mtazamo chanya - usikubali mawazo hasi, marafiki zako wawe na mawazo chanya, usikubali kuvunjika moyo na usikubali mawazo yako yaingiliwe na mtu.
25. Anza kufanyia kazi wazo lako usisubiri mtu.
26. Kuwa na mipaka katika mambo yako - usifanye mambo kwa mkumbo, usiige, buni mambo yako. Mamilionea wengi wanabuni mambo yao hawapangiwi na mtu.
27. Dili na watu wenye kipato kidogo na kati katika biashara zako; mamilionea wengi hulenga mahitaji ya watu wa hali ya chini ambao ndio wengi hapa duniani. Baadhi ya mahitaji ya watu wa hali ya chini ni;
(a) Vyakula na vinywaji.
(b) Vifaa vya ujenzi.
(c) Vifaa vya umeme.
28.Kuwa mwaminifu -mamilionea wengi ni waaminifu katika mali za watu. Wengi walikuwa wakipewa mali wakauze ndio walipe pesa, wanadhaminiwa malighafi za viwandani hadi wanamiliki viwanda vyao. Uaminifu ndio njia ya kukufanya uwe milionea.29. Pokea ushauri kwa watu hasa kuhusiana na biashara yako - waulize watu kuhusu huduma yako ya biashara wanaionaje na fanyia kazi ushauri wao.
30. Kuwa na plani katika kazi zako kila siku.
31. Kuwa na maono ya jinsi unavyotaka maisha yako yawe.
32. Panua soko la bidhaa zako usitegemee soko la sehemu moja tu.
33. Ubunifu ni muhimu sana - fanya ubunifu katika kuuza bidhaa zako ili mauzo yasishuke, kuwa mbunifu kwa wateja wako kwani itakusaidia kugundua wateja wako wanataka nini - kuwa karibu nao, wasikilize, waheshimu nk.
35. Nunua hisa katika mabenki, makampuni mbalimbali: Mamilionea wengi hununua hisa, hivyo humiliki mabenki na makampuni mbalimbali.
36. Kuwa milionea kunaanzia kichwani mwako-ukiweka mawazo yako kichwani utakuwa milionea kweli utakuwa sio kusema tu mdomoni. Amini utakuwa milionea na utakuwa kweli.
37. Maneno ya walioshindwa yasikukwamishe safari yako ya kuwa milionea.
38. Ondoa neno haiwezekani wewe kuwa milionea - kila binadamu anaweza kuwa milionea.
39. Mshukuru Mungu kwa hicho alichokupa - kumbuka neema ya Mungu ndio imekufikisha hapo ulipo hivyo toa msaada kwa watu wasiojiweza, yatima, masikini, wajane, wagonjwa, Walemavu, toa Zaka na sadaka, nk.
HITIMISHO; Shujaa mwenzangu, kuwa milionea inawezekana kama mimi na wewe tukifuata njia hizi 39 zinazotumiwa na mamilionea wengi duniani.
MBINU ZAIDI ZA KUWA MILIONEA Kama unataka kuwa milionea badilika ufuate mfumo huu wa maisha
Ni furaha kila unapo pokea mshahara au ujira wowote baada ya kazi Fulani, lakini kila ukitazama idadi ya madeni yanayokusubiri unaweza kupata kichaa, kwani unaweza ukagawa pesa hiyo na usibaki na shilingi ama la unabaki na pesa ya nauli na chakula, lakini nini cha kufanya kujiongezea kipato? watu ambao ni mamilionea hufanya mambo haya yafuatayo.
Jipangie Bajeti na Mpango wa kifedha
Ili uendelee lazima ujue, unatumia nini unaingiza nini? hii itakusaidia pia katika akiba zako na itakusaidia kama utachukulia swala hilo kwa umakini, kama kuna bili za kulipa kila mwezi ni lazima uziweke katika mtiririko mzuri wa malipo ili bajeti zako siziingiliane na akiba zako wala matumizi yako binafsi.
Uwe na Vyazo Vingine Vya Kukuingizia Kipato Hakikisha mshahara wako sio pesa pekee unayoitegemea, lazima utengeneze mifereji mingine ya kukuingizia kipato, Inasemekana kuwa mamilionea wengi wana njia zaidi ya SABA za kuwaingizia Kipato. Fanya kazi mwenyewe kama bosi wa biashara yako au ofisi yako, uza bidhaa zako kwa mitandao ya kijamii, anza kujitangaza taratibu sio lazima uanze na mtaji mkubwa. ukiwa na vyanzo vingi vya mapato ni rahisi kuweka akiba na kuwekeza.
Akiba,Akiba,,Akiba weka Akiba
Watu walioendelea waliweka akiba, punguza vitu unavyofanya visivyo vya maana au visivyo na umuhimu, punguza kutoka sana na kutumia pesa kwa starehe, fanya mambo ya muhimu tu acha kununua vitu ambavyo hauvihitaji, anza kwa kuweka akiba kidogo kidogo, ukiweka akiba nyingi ndiyo utaweza kuwekeza zaidi. wasichana wengi wanatabia ya kununua vitu wasivyo vihitaji kama viatu vingi,Nguo,Mikoba na vifaa vya Urembo. Jiwekee kiwango cha wastani kulingana na mahitaji yako.
Punguza Matumizi
Watu wengi wakipata pesa kidogo wanakimbilia magari ya bei kubwa na kufanya manunuzi ya vitu vya gharama kama nguo,saa na viatu kwenye maduka maarufu mjini, lakini kama ungetumia pesa kuwekeza katika mambo ya muhimu kama biashara lazima baadae ikulipe kuna usemi mmoja unasema “Buy the best Car but Own the Best House” na usinunue kitu ambacho haukihitaji sababu tu ni bei rahisi,
Kutana na Watu wenye Utaalamu,
watu walio kuzidi ujuzi, na Uzoefu katika Biashara au shughuli unayotaka kuifanya hii itakusaidia kujifunza vitu kutoka kwao tembelea mikutano mbalimbali ya wataalamu na masomo mbalimbali ya muda mfupi kujiongezea utaalamu, jiunge na wafanya biashara au wajasiriamali walio endelea katika kujifunza mambo ya kuhifadhi fedha, kuweka akiba na kuwekeza katika biashara.
SIRI ZAIDI ZA UJASIRIAMALI:- - Utangulizi
- Ujasiriamali ni nini
- Viashiria vya umasikini
- Karaha za umaskini
- Sifa za mjasiriamali
- Hatua muhimu za kuzingatia kwa mjasiriamali
- Mbinu za ujasiriamali
- Vitu vya kuzingatia kwa mjasiriamali katika Nchi na Kanisa
- Changamoto za Ujasiriamali katika Nchi na Kanisa
- Mifano ya Wajasiriamali katika Biblia
Hitimisho
UTANGULIZI Kila mara nilipokuwa nafundisha semina mbalimbali na hata kuhubiri nilikazia sana namna watu wanavyoweza kupambana na umaskini na jinsi ya washarika wanavyopaswa kuwa wajasiriamali na hata mara nyingi nilipokuwa nadhuru Usharikani kwangu niliona jinsi watu wangu walivyokuwa wanasumbuliwa na umaskini.
Mimi binafsi naona umaskini kama ugonjwa mwingine hatari kuliko hata UKIMWI, ambao watu wengi wanakufa kwa kukosa chakula, maradhi kama kwashakoo na kushindwa kwenda Hospitali, wamama wajawazito wanakufa nyumbani kwa sababu ya miundombinu mibovu, hili ni gonjwa kubwa la Umaskini.
Kila siku Raisi wetu anapokwenda nje anasema naomba msaada kwa ajili ya watu wangu ambao ni maskini, Askofu akienda nje atakuwa anaomba misaada akisema nchi yetu ni maskini, Jimbo au Dayosisi yangu ni Maskini kwa midomo yetu tunakiri na maisha yetu yanakuwa ya kimaskini, ila swali la kujiuliza ni moja tu kuwa mbona tulipotoka kulikuwa na nafuu ila huko tunakoelekea ni pabaya sana na hali ya maisha inakuwa ngumu? katika kitabu hiki tutaona nini maana ya umaskini na jinsi ya kuondokana na umaaskini kwa kutumia njia ya ujasiriamali, nilisukumwa na maneno ya mwanafalsafa mmoja aliyesema, “fanya kazi kama mtu ambaye hatakufa ila ishi kama mtu atakayekufa kesho”
SURA YA KWANZA:UJASIRIAMALI NI NINI? Mtaalamu mmoja anayeitwa Cunningham Lischeron (1991) anasema mjasiriamali ni mtu anayeweza kuongoza fikra katika utekelezaji kutokana na fursa zilizopo kwa lengo la kupata faida.
Katika kitabu cha TRA chenye kichwa kinachoitwa “maadili ya kufanya biashara” cha 2007 TRA wanasema mjasiriamali ni mtu ambaye anasifa na uwezo wa kutambua mapema fursa za kutengeneza faida na mwenye kuunganisha nguzo kuu za uzalishaji mali yaani (nguvu kazi, mtaji na rasilimali.
TRA wanaendelea kusema mjasiriamali ni mwanzilishi wa wazo na mwenye maono ya mbali ya jinsi ya kufanya biashara , uwezo wa kupanga na kuratibu na kutekeleza wazo lake na kufikia mafanikio, pia ni mwenye kujiamini, kujituma kwa muda mrefu kukubali makosa na kujisahihisha, mbunifu na mwenye kuwa tayari kutumia vizuri maarifa ya watu wengine.
Kwa hiyo kwa kifupi Ujasiriamali ni ile hali ya uwekezaji mtaji katika mradi au katika biashara ndogo au kubwa, hii ni kutokana na kamusi ya Kiswahili sanifu. Ila napenda kueleza kuwa Tanzania kwa sasa neno ujasiriamali ni neno linalotumika sana ila lilikuwepo kwa wenzetu wazungu toka karne ya kumi na tisa na ujasirimali usitafsiriwe katika miradi midogomidogo hata miradi mikubwa ujasiriamali unatumika na unahitajika.
Kabla ya kuendelea mbele zaidi juu ya ujasiriamali ni lazima tufafanue juu ya umaskini lengo likiwa ni kuona umuhimu wa ujasiriamali ili kupambana na umaskini
UMASKINI NI NINI? Neno umaskini kwa lugha nyepesi na rahisi ni ile hali ya mtu kukosa yale mahitaji muhimu, yaani chakula bora, nguo na makazi bora.
Umaskini ni neno linalotokana na neno la kigiriki “Prochos” ambalo kwa kiingereza ni “Poverty” maana yake kwa kiingereza ni “ state of one with insufficient resources” ambapo kama nilivyoeleza hapo juu ni ile hali ya mtu kukosa mahitaji muhimu.
Tafsiri nyingine ya pili ya kimataifa ambayo wao wanaangalia kitu kinachoitwa Gross Net Profit (GNP) yaani pato la kila mtu kwa mwaka au kwa siku, wao wanasema umaskini ni ile hali ambayo unapoangalia pato la kila siku la mtu anaishi chini ya kiwango cha dola moja, kwa maana nyingine kama mahitaji yako ya kila siku unapotumia ni chini ya dola moja wewe unaitwa maskini.
Katika mazingira yetu ya kiafrika umaskini wanaelezea kama mtu fukara asiye na uwezo wa kupata chakula, nguo na mahali pa kulala.
VIASHIRIA VYA UMASKINI Nchi au mtu mmoja kuna viashiria vinavyo onesha kuwa nchi au mtu ni maskini navyo ni:-
1. Magonjwa: Kuna magonjwa yanayoendana na umaskini kama vile kwashakoo, Unyafunzi, (Marasmus) ambayo yanaletwa na kukosa chakula bora.
2. Ufukara: Ni hali duni ya maisha
3. Kiashiria cha tatu ni pale ambapo mtu anaposhindwa kuzalisha kutokana na kukosa njia za kuzalishia hii maana yake ni kuwa, malighafi zipo ila jinsi ya kuzitumia, na kuziendeleza anakosa, maana yake anakosa mtaji.
4. Ukosefu wa Elimu bora , hiki ni kiashiria kingine cha umaskini cha nne. 5. Kunapokuwa na huduma mbaya za jamii kaama hospitali, miundo mbinu na hata mawasiliano mabovu hiki ni kiashira cha tano cha umaskini.
KARAHA ZA UMASIKINI Umaskini unaleta dharau.Mtu maskini hudharauliwa kama maneno ya Mungu yanavyosema katika Biblia katika kitabu cha Mithali 14:20, “Maskini huchukiwa hata na jirani yake, bali tajiri ana marafiki wengi” Ukiwa maskini hata kama una mawazo mazuri kiasi gani hakuna anayeweza kuku sikiliza maana unadharauliwa hata nchi maskini ingekuwa na jambo gani zuri bado ingedharauliwa, kwa sababu ni nchi maskini; kama vile maneno ya Mungu katika Mhubiri yanavyoendelea kusema “ Walakini hekima ya maskini hudharauliwa wala maneno yake hayasikilizwi Mhubiri 9:16b”
Karaha ya tatu ya umaskini ni kukosa kujiamini, huwezi kusimama na kusema kwa kujiamini mbele ya watu.
Ningeweza kusema umaskini ni gonjwa hatari na ambalo limetuonea kwa muda mrefu wengine wamehusisha umakini na laana wengine wamehusisha umaskini na utakatifu kama maneno ya Mungu katika Mt. 5:1, Heri walio maskini waroho, maana ufalme wa mbinguni ni wao katika mstari hakuna mahusiano yeyote ya utakatifu na umaskini. Nadhani tukajipange vizuri kwenye ujasiriamali tutaweza kupunguza karaha za umaskini fuatana nami kwenye ujasiriamali baada ya kuona karaha za umaskini.
SURA YA PILI:SIFA ZA MJASIRIAMALI Baada ya kuona mjasiriamali ni mtu anayeweza kuongoza fikra katika utekelezaji kutokana na fursa zilizopo kwa lengo la kupata faida hebu sasa tuone kuwa mjasiriamali anatakiwa kuwa na sifa zipi;
Moja awe na msukumo wa kisaikolojia wakufanya mradi, mara nyingi watu wameshindwa kupata mafanikio kutokana na kushindwa na kuwa na msukumo wa kisaikolojia, unaweza ukakutana na mtu akakuambia hili sitaweza, au anakiri mimi ni maskini au anafikiri mambo madogo madogo tu, lazima mjasiriamali awe anayeweza kubadili mtazamo wa kushindwa na hofu ya kutojaribu, hivyo lazima mjasiriamali awe na msukumo wa kisaikolojia ambao utaleta kujiamini na kuondoa hofu ya kile anachotaka kufanya, pia lazima tutambue kuwa umaskini unaanzia kichwani, jinsi tunavyofikiri ndivyo tunavyokuwa, tukifikiri mambo madogo madogo tunatenda madogo, tukifikiri mambo makubwa tutakuja kufanya makubwa, maana yangu ni lazima tubadilishe mind set zetu.
Pili mjasiriamali lazima awe mbunifu, “creative” hapa nina maana ya watu kuondoka kwenye maisha ya kuishi kwa mapokeo (traditionally) na kwenda kuishi kulingana na hali halisi na wakati. Watu wengi sio wabunifu toka kazini , kwenye biashara, nyumbani mifano ni hii.
Mtu anakutana na mwenzake ana duka la nguo naye anafungua duka la nguo hapohapo kisa ameona Fulani amepata faida. Kwa watanzania biashara ya daladala ilipoingia kila mtu alitaka kununua daladala, biashara ya kufuga kuku kila mtu alitaka kufuga kuku mpaka masoko yakawa shida, biashara ya vitenge ilipoanza kila mama alikwenda huko ikiwa alipata mkopo au alipata pesa alianzisha Biashara ya vitenge.
Katika hili la ubunifu ninalotaka kuelezea hapa ni juu ya kufanya kitu tofauti na mwingine na pia kuwa mwepesi wa kuyasoma mazingira, mjasiriamali yeyote lazima afanye kitu tofauti na mwingine, baadaye tutaona mifano baadhi ya wajasiriamali jinsi walivyoweza kubuni vitu tofauti.
Jambo la tatu ni lazima mjasiriamali awe na uwezo mkubwa wa kuziona fursa za kiuchumi, inashangaza sana kuona nchi kama Tanzania jinsi ilivyo na fursa nyingi ukianzia wanyama, maji, madini na ardhi kubwa lakini ni nchi maskini na watu wake ni maskini, watu hawajaona fursa zilizopo.
Kuna maeneo ukifika unaona mashamba jinsi yalivyo mazuri na jinsi walivyozungukwa na maji kwa mwaka mzima ila watu wake ni maskini wakutupwa, hebu angalia nchi kama Misri ni jangwa ila wanazalisha nyanya na nafaka kwa wingi kuliko Tanzania, hebu angalia nchi kama Israeli ni nchi iliyozungukwa na milima ila inazalisha matunda ila sisi kila siku tunalalamika njaa na fursa tunazo.
Mjasiriamali yeyote mzuri lazima aangalie fursa alizonazo, hapa namaanisha kama unataka kuwa tajiri lazima uangalie vile vitu ulivyonavyo.
Mfano Mama mmoja alianza mradi wa kuku wa kienyeji kwa kuku 30, mitetea 27 na majogoo 3 alipoanza alianza kuwawekea kuku mayai ya kutamia aliwekea wastani wa mayai 12 kwa kila kuku, na kwa kuku 25, na baada ya wale 25 kutotoa alipata vifaranga 300, aliona faida kubwa baadaye akaongeza kuku na baadaye alipata kuku wengi akaamua kununua mashine ya kutotolea vifaranga “incubator” baadaye aliweza kuajiri watumishi leo hii ana kampuni ya kuku, fursa yake ilikuwa kuku na alipotumia vizuri, leo hii ni tajiri, je wewe una nini kinachokuzunguka anza na hicho na utakuja kuwa tajiri.
Mjasiriamali lazima awe na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi lipi lifanyike wapi? Kwa muda gani? Na kwa sababu gani? Maamuzi sahihi ni changamoto iliyopo mbele ya wajasiriamali wengi, maamuzi sahihi yanatokana na kuthubutu, nimetumia neno kuthubutu nikiwa na maanisha kuwa tatizo la watanzania wengi hawafanyi maamuzi sahihi kwa sabbau ya Uwoga maamuzi sahihi yanatokana na mazingira uliyonayo na unadiriki kuwa
“ risk taker” mjasiriamali anayeogopa hasara mara nyingi hafanikiwi maana hasara ni sehemu ya mradi unapothubutu maana yake una uwezo mkubwa kufanya maamuzi na pia unaheshimu maamuzi yako.
Jambo lingine muhimu kwa mjasiriamali yeyote ni lazima awe anatunza muda na kujali wateja kati ya vitu ambayo Mungu ametupa wote sawa sisi wanadamu ni muda, kwa sababu wote tumepewa masaa 24 kwa siku sasa changamoto iliyopo ni vipi tunatumia muda vizuri hasa kwa watanzania ni changamoto wale wanaotumia muda vizuri wamefanikiwa, utafiti uliofanyika unaonyesha watazania wengi tunafanya kazi kwa muda wa masaa 5 hadi 9 hivyo tunapoteza muda mwingi sana na muda tunaopoteza ni wastani wa masaa 15 na 19 hebu fikiri jinsi tunavyopoteza muda mwingi hivyo.
Nchi tajiri kama Japani wanatumia muda wa masaa 3 mpaka 7 kwa kupumzika tu kwa siku hebu angalia jinsi sisi tunavyotumia muda hovyo.
Nina mifano ya jinsi tunavyopoteza muda, mfano wa kwanza, nenda kwenye ofisi za serikali na taasisi mbalimbali mtu anaweza kuzunguka chumba kimoja hadi kingine kwa mazungumzo ya umbea ufike muda tu wakuondoka.
Fikiri jiji kama Dar es salaam mtu anatoka nyumbani asubuhi kwa sababu ya foleni wengine wana anza kazi saa 8:30 au saa 9:00, saa saba lunch anaondoka saa tisa hapa amefanya kazi kwa masaa 5 tu, ndio maana ukifika ofisi nyingi ukihitaji huduma unaambiwa njoo kesho kutwa.
Mfano wa pili mtu anamradi mfano wa duka au shamba badala ya kuwahi dukani au shambani ana anza kuongea umbea njiani akifika amechelewa hajali wateja wake au kazi yake ya kilimo. Lazima tujue muda ni pesa na pesa ni muda, tutakavyotumia muda wetu vizuri tutakuwa matajiri, hivyo ni lazima mjasiriamali mzuri atunze muda.
Jambo jingine Mjasiriamali yeyote lazima ajue kutunza wateja kwa kizungu tunasema “customer care” jinsi ya kuwatunza wateja wako wapya na wazamani utawatunzaje. Hili ni suala muhimu sana, mjasiriamali lazima uwe na kauli nzuri kwa wateja wako, chukua mfano huu wa mradi wa Ng’ombe wateja wako ukawacheleweshea maziwa kwa siku hiyo lazima uwaombe msamaha na uone jinsi ya kuwafikishia wewe mwenyewe siku hiyo kwa kuwaambia samahani nimekucheleweshea maziwa na samahani kwa kukupotezea muda wako nitakuletea mimi mwenyewe.
Mjasiriamali lazima uwajue wateja wako, ikiwezekana tabia zao na ujue jinsi ya kumridhisha kila mmoja, watu wengi wanakuwa na kauli nzuri pale mwanzoni wanapoanza biashara ila mafanikio yanapojitokeza wanaanza kuwa na kauli chafu kwa wateja, kiburi chapesa kinaanza, kwa mjasiriamali maneno kama karibu mteja wangu nikusaidie nini mteja wangu asante mteja wangu nakaribu tena mteja wangu ni maneno muhimu sana.
Na hata wakati mwingine waulize wateja wako je mngetaka kipi ni kifanye ili kiboreshe biashara yangu na hata ikiwezekana boresha biashara yako kwa kuwawekea vivutio wateja wako kama TV, Muziki laini usiwe sauti kubwa, magazeti na sehemu nzuri za kuvutia kama bustani na usafi wa sehemu ya biashara, wakati mwingine toa hata ofa mbalimbali mfano mtu amenunua mizigo mingi mpe hata usafiri bure, wakati mwingine mpe hata ka zawadi kwa kuwa mteja kwa muda mrefu au toa discount (punguzo) Fulani , nia ni kujenga familia ya wateja waone wateja wako kama wanafamilia kwenye biashara yako au kwenye mradi wako na pia uwe wazi na mwaminifu ili kulinda wateja.
Sifa ya mwisho ya mjasirimali ni lazima awe na mambo haya matatu, maono, malengo na dira.
Mjasiriamali mzuri lazima awe na maono, maono kwa lugha nyepesi maono ni ile hali ya kutembea miaka mingi ijayo leo, wachaga wanasema ili ufanikiwe lazima uote kuwa milionea leo, mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft ya kutengeneza kompyuta ambaye ni bilionea mkubwa Bill Gate alipoanza alikuwa na maono ya kuwa tajiri mkubwa kwa kweli alikuja kuwa bilionea, watu wengi maarufu na hata wasomi wakubwa walianza na wazo la kuwa milionea au kuwa wasomi maarufu na baadaye kweli walikuja kuwa maarufu, mtaalamu mmoja alisema huwezi kuendelea au kufanikiwa mpaka uwe na mawazo ya kufanikiwa.
Na mtu mmoja alisema “ Kama huna maono huna malengo, kama huna malengo huna mipango, kama huna mipango huna mikakati, kama huna mikakati huna shughuli, kama huna shughuli huna maendeleo”
Mjasisriamali yeyote lazima awe na malengo, lengo kuu la mjasriamali ni kupata faida na kwa lugha nyepesi malengo yamegawanyika katika sehemu kuu mbili; yaani malengo ya muda mrefu na malengo ya muda mfupi.
Malengo yanaonyesha matarajio ya mjasiriamali, ningeshauri kama ni familia hasa ya mkristo kila mwaka unapoanza, familia ikae chini na kuandika mipango yake ya mwaka ambayo hiyo tutaita ya muda mfupi na hata ya muda mrefu.
Waafrika wengi hatuna desturi ya kuandika sana ila kwa sasa Elimu imekuwa sana ni vizuri familia kuwa na kitabu cha kumbukumbu (Diary) ambacho mtaandika mipango yenu.Kwa kawaida kuandika mipango kunasaidia kufanya lile au yale mliyokusudia tu na si nje ya hapo, maana wataalamu wanasema “ kupanga ni kuchagua”
Hebu fikiri unakutana na mtu unamwambia nipe mipango yako ya mwaka anakuambia sina, kweli huyu atafanikiwa au mtu anaenda sokoni ila hakuandika kuwa atanunua nini, maana yake hana mpango, chochote atakachokuta atanunua kwasababu hana mpango.
Ni lazima mjasirimali mzuri ujifunze kuwa na mipango ujifunze kutekeleza yale tu uliyoyakusudia ndio maana utakuta mtu anapesa kidogo lakini anafanya mambo makubwa sababu ana mipango na unaweza kukuta mtu anapesa au ni Afisa ila hata nyumba anashindwa kujenga sababu hana mipango. Lazima Mjasiriamali awe na dira maana yake awe na muongozo.
Malengo lazima yawe na faida kuu tano:-
Moja, Yawe yamepangwa kutokana na taarifa sahihi ulizonazo mfano; kuhusu masoko ushindani wa kibiashara kiwango cha mtaji ulichonacho kwa kile unachotaka kufanya, wateja watapatikanaje, sehemu biashara yako itakapokuwepo kiwango cha faida kwa kila biashara, jinsi ya kupata wafanyakazi.
Pili, Lazima malengo yawe yanashaurika hapa nina maana kuwa unapotaka kufanya mradi wowote wewe kama mjasiriamali lazima upate uzoefu au ushauri kwa wataalamu au kwa wenzako, kwa wenzetu wazungu walioendelea na sisi labda tutafika huko unapotaka kuanzisha mradi lazima upate ushauri wakitaalamu kwa wataalamu ambao kwa lugha ya kizungu tuawaita “Consultant” ili wakuelekeze jinsi ya kufanya na kuandika project strategic business plan.
Tatu, Malengo lazima yatekelezeke, unaweza ukawa na malengo mazuri ila tatizo hayatekelezeki, unaishia tu kwenye ndoto za alinacha malengo mazuri ni yale yanayotekelezeka, yatatekelezeka kwa kuthubutu.
Jambo la nne Malengo lazima yapimike vilevile la mwisho malengo ni muhimu yazingatie muda, watu wengi wameprefix muda lile walilohitaji kulifanya wakiwa vijana wanalifanya wakiwa wazee au alihitaji kufanya jambo akiwa kazini anafanya akistaafu. Mfano: Mfanyakazi akiwa kazini hakuwa na malengo ya kujenga nyumba akatumia muda vibaya anapostaafu anapewa kiinua mgongo au pensheni. Ile pensheni ndio anajengea nyumba na kusomesha watoto mara ghafla pensheni inaisha atakufa haraka maana hana pesa na hakuwekeza kwa hiyo hapa alikuwa na malengo ila hayakwenda na muda ndio maana wastaafu wengi ambao hawakujiandaa mara wanapostaafu hufa haraka.
Pili, hebu fikiri mtu asipokuwa na malengo yasiyopimika mara akistaafu anataka kununua gari, kufanya biashara na wakati wa ujana wake hajawahi kufanya hayo, ndiyo maana wataalamu wanasema ukifikisha umri wa miaka 50 au 60 kama hujakuwa milionea hutakuwa milionea na kama hujawahi kufanya shughuli yeyote huo sio umri wa kuanza shughuli mpya fanya ile uliyozoea.
Kwa mjasiriamali lazima malengo yako yapimike kutokana na muda wazungu wanasema
(time framework). Lazima ufahamu kuwa hakuna unachoweza kufanya bila kuwa na malengo yanayokupa tija na ari.
Malengo yatakapozingatia muda yatakuwa yanazingatia hata Afya, lazima mjasiriamali azingatie jinsi ya kutunza Afya yake pia aweke malengo maalum ya kutunza Afya yake watu wengi hasa waafrika hawana malengo maalum ya kutunza afya zao, Chukua mifano hii kiafrika kuwa na kitambi(obesity) inaonyesha wewe ni tajiri, wataalamu wengi walishe walipofanya utafiti waligundua kuwa watu wengi walio na vitambi ni wavivu wa kufanya kazi na kufiri. Lakini pia vyakula tunvyokula vinasaidia sana miili yetu kufanya kazi vizuri, kuna kabila moja hapa Tanzania ninalotoka unaweza kukuta mtu anapesa lakini hali chakula kizuri kisa atamaliza pesa, wanasifika kwa ubahili, tule vyakula vizuri na vyenye kujenga Afya, pia tuepuke kula vyakula vyenye sumu na pia tupate muda mzuri wa kupumzika kwa kawaida mtu anatakiwa alale masaa 8 kwa siku, unakuta wafanyabiashara wengi hawalali na hata wengine wanatumia madawa ya kulevya kama mirungi ambayo ni hatari sana hivyo lazima tutunze afya zetu hili ni muhimu sana kwa mjasiriamali yeyote.
SURA YA TATU:
HATUA MUHIMU ZA KUZINGATIA KWA MJASIRIAMALINyambulisha na uainishe mradi unaotaka kufanya kwa msingi wa wazo linalotekelezeka.
1. Fursa ya biashara au mradi kutokana na yafuatayo:
Tathmini ya wazo lako la biashara au mradi, tathmini ya kina ya mahitaji ya soko ambalo biashara au miradi yako italenga, Tathmini ya kina ya bidhaa zako za huduma zako, Tathmini ya kina na jinsi bidhaa yako/huduma yako itakavyokidhi mahitaji ya soko ulilolenga, fikiria na ufafanue walengwa/watumiaji wa bidhaa au huduma zako. Tathmini taratibu za kisheria na kiutawala kuhusu biashara au unayotaka kuanzisha.
2. Angalia ushindani uliopo sokoni (husisha yafuatayo):- Angalia na uorodheshe biashara nyingine zinazotoa huduma/bidhaa kama unazotaka kutoa wewe. Angalia na ujiulize kama wapo washindani wengine wapya wanaotoka kuingia kwenye biashara hiyo hiyo unayokusudia . Jiulize changamoto zilizo na vikwazo vilivyopo (kisheria, kimtaji au vinginevyo) vinavyoweza kuzuia biashara nyingine zinazofanana na biashara yako unayotaka kuanzisha. Jiulize na uorodheshe upekee wa bidhaa/huduma zako (jiulize sababu za kumfanya mtu ahitaji bidhaa/huduma yako badala ya bidhaa/huduma nyingine zilizopo sokoni)
3. Angalia uwezekano wa biashara yako (Ni kwa vipi walengwa wako watajua kuhusu bidhaa na huduma zako) Utawafikiaje walengwa wa biashara yako
(Ni kwa vipi walengwa wako watajua kuhusu bidhaa na huduma zako)? Utasambazaje/fikishaje kwa wauzaji wa rejareja au huduma zako zitafikaje kwenye maeneo uliyokusudia na maeneo hayo ni yapi)? Nini makadirio yako ya wafanyakazi utakaohitaji kwa miaka miwili ya kazi (wafanyakazi wangapi utahitaji mwaka wa kwanza, na wangapi utahitaji mwaka wa pili)? Unahitaji ufanye nini ili biashara yako ipate faida na itachukua muda gani kuwa na faida? Nini matarajio yako ya mapato na matumizi kwa miaka 4 ya kazi
( ni mapato na matumizi kiasi gani katika mwaka wa kwanza, mwaka wa pili , wa tatu na wa nne)? Unahitaji mtaji wa kiasi gani ( kiasi gani cha fedha unachohitaji kuwekeza) katika mwaka wa kwanza, wa pili na wa tatu na wan ne ili kuendesha biashara yako? Utawezaje kupata kiasi hicho cha mtaji? Je ni kwa kuanza kuweka akiba katika benki au kuomba mkopo na kwa ghrama gani? Je mchango wako katika mtaji ni kiasi gani? Je mradi wako unaweza ukabeba gharama zinazotakiwa kiuendeshaji na bado ukazalisha faida?
4. Uzoefu wako katika ujasiriamali na uwajibikaji Tathmini kiwango chako cha elimu na uzoefu wako unaohusiana na wazo lako la biashara na mahusiano uliyonayo na wadau muhimu kisekta wewe kama mjasiriamali. Tathmini kuhusu wataalamu wa fani mbalimbali ambao utahitaji kuwatumia katika maeneo ambayo wewe si mtaalamu wala mzoefu ili kufanikisha uanzishaji na uendeshaji wa biashara yako.
Kwa ufupi tathmini nia/malengo yako yakutimiza kuanzia na kukua kwa biashara ukizingatia muda utakaotumia kupanga, muda unaokusudia kutumia katika mradi, kiwango cha fedha na kwako mwenyewe unachoridhia kuweka katika mradi nk.
SURA YA NNE: MBINU ZA UJASIRIAMALI Kuna mbainu mbalimbali zinatakiwa mjasirimali azifahamu nazo ni hizi zifuatazo:-
Kwanza kujitambulisha au kuitambulisha bidhaa katika soko (market penetration) lazima kile unachozalisha uhakikishe unakitambulisha katika soko hapa tuna mfano wa mjasiriamali maarufu duniani ambaye alitambulisha bidhaa yake sokoni ya Aloe Vera huyu anaitwa Edna Hemessee, mjasiriamali huyu milionea, alianza kwa ubunifu wa hali ya juu na sabuni ya kusafishia uso, itokanayo na mmea wa Aloe Vera, alianza kwa kuwa wakala na ndugu yake, 1956 alichukua mkopo toka Benki baadaye alipaki Aloe Vera kama vipodozi ambayo ilijulikana
Kama “Youth in jar”
Mbinu alizotumia Edna kufanya bidhaa kujitambulisha kwenye soko ni kuifanya bidhaa isiigwe kirahisi, ubora, masoko, Mitaji haya ni mambo muhimu ya kufanya ili kulifikia soko.
Mbinu ya pili ni kuwashinda washindani wako wa kibiashara, Michaeli Parter wa Havard katika Kitabu chake cha “ How competitive forces shape strategy” (1986) anataja mbinu tatu za msingi za kutumia katika kuwashinda washindani wako, katika biashara kwanza, kuwa na bei ya chini kuliko washindani wako hapa ni kujaribu kupunguza gharama za uzalishaji au utoaji huduma, kwa hapa Tanzania mbinu hii wanatumia zaidi akina mama lishe.
Pili kutoa bidhaa au huduma bora kuliko washindani wako wa kibiashara, tatu kuwalenga watu Fulani ambao hawajahudumiwa vizuri kwa kutumia matangazo katika vyombo vya habari au sehemu mbalimbali.
Mbinu ya nne inahusu mitaji katika mbinu hii hapa ni kuungana kama vile kuanzisha SACCOS (au partinership) mnaungana watu wawili au kundi Fulani kufanya biashara
(joint venture) unaweka mtaji pamoja njia hii wanatumia makampuni makubwa NICOL, CRDB, NMB, Cement Company, Sigara Company.
Mbinu ya mwisho ni lazima mjasiriamali afahamu usimamizi mzuri kwa kuwatafuta watu waaminifu na pia wenye elimu inayohusu mradi husika au uzoefu (business management) biashara au miradi mingi inashindwa kutokanana na usimamizi mbovu.
VITU VYA KUZINGATIA KWA MJASIRIAMALI: Kama vile maneno ya Mungu yanavyosema mtumaini Bwana katika kila jambo naye atafanya. Kila mjasiriamalia lazima afahamu kuwa msingi mkubwa wakuzingatia ni kumtegemea Mungu, mafanikio yeyote yanayotokana na Mungu, mwanadamu anayafurahia, ila yasiyotokana na Mungu ni majuto.
Ndio maana leo hii Tanzania, watu wanafikiri kusaka mali kwa kupitia waganga wa kienyeji watafanikiwa, hebu fikiri viungo vya maalibino vinavyotafutwa, fikiri juu ya ubakaji wa vikongwe, watoto, au kumharibu (awe zezeta) mke au watoto au mama mzazi ili kuwa tajiri vitendo hivi vinavyoshamiri kwa njia za kishirikina, hivyo vyote vitaturudisha nyuma sana, kama maneno ya Mungu yanavyosema kila mtu amchaye Mungu atafanikiwa, na katika Mithali 8:21 “inavyosema niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao”
Jambo la pii la kuzingatia kwa mjasiriamali ni jinsi yakutunza rekodi zake kama waswahili wanavyosema mali bila daftari huishia bila habari, ni vizuri kutunza rekodi za mapato na kuonyesha ni vipi umepata hasara na faida uliyopata hii itakusaidia kuelewa mwenendo wa biashara yako.
Suala lingine la tatu la muhimu ni kuzingatia matumizi yanayotokana na kipato chako yaani “income and expenditure” kwa lugha nyepesi, mara nyingi watu wengi hawazingatii hili, ndiyo maana biashara zao zinaporomoka mara moja, yaani, matumizi yako lazima yaendane na mapato yako sio matumizi yazidi kipato.
Lakini mjasiriamali anahitaji kuzingatia vipaumbele na fursa alizonazo ili kuendeleza biashara yake. Mara nyingi watu wengi wanashindwa kuangalia kipaumbele kipi kianzwe na kipi kifuate na kipi kimalizie, lazima ujifunze kuandika na ufanye kazi kwa kuzingatia vipaumbele hapa utafanikiwa kwa haraka pia kumbuka kuwa makini na vitu visivyozalisha hapa nina maana kuwa, kuna vitu visivyozalisha(Liabilities) na mjasiriamali anatakiwa kuachana navyo, tajiri maarufu Mmarekani anayeitwa Warren Bafeti, yeye hatumii simu ya mkononi hata gari la kifahari wala haishi kwenye nyumba ya kifahari yeye anasema hataki kutumia vitu visivyozalisha, hebu angalia matumizi ya simu kwa watanzania wengi ni kwa stori si kuzalisha.
Mjasiriamali lazima uzingatie kufanya jambo moja kwa kizungu tunasema uwe na “specialization of Labour” sio kila kitu ufanye utakuta mtu ni mkulima, mfugaji, mfanyabiashara, yote anafanya matokeo anashika hiki kidogo na kuacha na hawezi kuona tija hili ni muhimu sana na la kuzingatia. Hakikisha unafanya kitu kimoja kila siku cha maendeleo kwa mwaka mzima, utakuwa na vitu 365, utakuwa hatua kubwa sana.
Ila pia zingatia kutumia akili sana kwenye mradi wako. Neno akili lina maana ya kuwa na uwezo wa kufikiri na kuamua kwa busara, uwezo wa kuelewa mambo, ufahamu hekima na busara.
Kuwa na akili humaanisha mtu ana uwezo wa kuamua mambo kwa kutumia akili. Hata hivyo watu wengi huacha wengine wafikiri kwa niaba yao badala ya kujiamulia mambo yao wenyewe wao hufuata maoni yanayopendwa na wengi, uwezo wa kutumia akili unahitaji uzingatie haya yafuatayo:-
Kwanza : Jifunze biblia na ufuate mashauri yake (waefeso 1:8), Pili; Jifunze kutokana na uzoefu, Mtunga mashairi Mswisi alisema hivi kutumia akili huhusisha uzoefu wa uwezo wa kuona mbele (mithali 14:15),
Tatu; kuwa na marafiki wenye hekima.
Faida za kutumia akili ni:-
1. Kupunguza mfadhaiko,
2. Kufanya maisha yawe yenye kupendeza na hata kuokoa wakati (Mhubiri 10:15),
3. Kusaidia kutimiza majukumu yetu (Mithali 1:5),
4. Kusaidia kuchanganua habari.
Tatizo watu wengi wanatumia nguvu zaidi kuliko akili, tumia akili nyingi kuliko nguvu, mfano kompyuta inafanya kazi sana ila ina uwezo mdogo wa akili kuliko mtu.
La mwisho lazima mjasiriamali ajitahidi kupunguza msongo wa mawazo (Stress) unaotokana na biashara au mradi anaofanya kwa kufuata njia zifuatazo:-
1. Jipe muda wa kupumzika kila siku 2. Kupata lishe nzuri.
3. Shirikisha marafiki na wataalamu katika mradi wako ili kupata ushauri.
4. Kubali ukweli unapopata faida au hasara
Mambo yote niliyoyataja hapo juu ya kuzingatia nina yajumlisha pamoja kwa kusema mjasiriamali yeyote Yule anahitaji kuzingatia yafuatayo:-
1. Ni mradi gani ninataka kuaza, ninahitaji kuzalisha huduma gani.
2. Soko liko wapi, Je? Kuna ushindani? 3. Nani watanunua na walengwa wa soko langu ni akina nani? 4. Je? Nitatumia njia zipi za kununua malighafi?
5. Je? Nitatumia mbinu zipi za kuuza 6. Ni pesa kiasi gani nahitaji kwa ajili ya kuanza mradi ambao utanisaidia.
7. Nini chanzo cha mtaji wangu?
8. Je, wasaidizi au wafanyakazi nitawapata wapi.
9. Je? Nitathibitije biashara yangu na nitatumia njia zipi za utawala (management controls).
10. Nitafanya vipi mabadiliko yatakapohitajika?
11. Je, nitakwenda wapi kwa msaada wa kimawazo au kiuchumi, ni benki au partnership.
12. Nina uzoefu na ninachotaka kukifanya?
13. Ni lazima mjasiriamali aoneshe mpango kazi wake na jinsi atakavyofikia malengo yake “strategic business or project plan” na muundo wa uendeshaji “Project administration chart”
14. Lazima mjasiramali aoneshe muundo wa uendeshaji, lazima mjasiriamali aonyeshe gharama mbalimbali za uanzishaji zionyeshe rasilimali za kudumu (Fixed asset) na rasilimali za muda (current asset), aonyeshe jinsi alivyowekeza na jinsi gani ataanza kupata faida, lazima aandike andiko ambalo litamsaidia kupata fedha kwenye taasisi mbalimbali huu hapa chini ni mfano wa kuandika mchanganuo wa miradi.
HITIMISHO:
Nimatumaini yangu kitabu hiki kitakusogeza hatua moja zaidi, huku roho mtakatifu akikuinua hasa nikikumbuka yale maneno ya mtume Paulo aliyosema “Mpenzi naomba ufanikiwe rohoni na mwilini” pia nakumbuka maneno ya mtaalamu mmoja wa Uchumi aliyesema mtu akikaa sana kwenye umaskini anaona umaskini ni sehemu yake ndio maana leo ukikutana na Watanzania wanasema sisi ni maskini hata nchi inasema ni maskini, naamini tukifuata kanuni zote za ujasiriamali Mungu atatusogeza hatua moja na yatosha kusema tulivyoonewa na umaskini vyatosha chukua hatua, thubutu na vile ulivyonavyo fanya kazi kwa bidii na malengo,utafanikiwa Mungu akubariki sana.
Nimalizie kwa maneno aliyosema mama Theresa “The worst poverty is the feeling of loneliness and of being unwanted” tafsiri isiyo rasmi” watu maskini hujisikia upweke na kujiona kama watu wasiohitajika” vile vile Geoethe alisema “knowing is not enough, we must apply, willing is not enough we must do” tafsiri isiyo rasmi, kutaka hakutoshi ni lazima tufanye, Mungu aibariki Tanzania tubariki na sisi sote. Amen.
NIMATUMAINI YANGU KUWA UTAFANIKIWA KATIKA SAFARI HII YA UJASIRIAMALI.................................................Umuhimu wa kujifunza ujasiriamali:-Kabla ya Kuacha kazi na kuanzisha Biashara Sikiliza Ushauri huu:-Amri 10 za Kufanya Biashara:-Jinsi ya kuanzisha Biashara hata kama huna senti tano mfukoni:-Faida za kuanzisha Biashara:-Kanuni 15 za kujifunza kabla ya Kuanza Ujasiriamali:-Jifunze kuanzisha kuendeleza na kukuza Biashara yako kupitia Biblia hii hapa ya biashara:-Muone mwalimu anayeuza mishikaki na kuingiza zaidi ya Mil 2 kwa mwezi:-Fursa zaidi za Kijasiriamali hizi hapa:-
Mbinu za kukuwezesha kuwa mjasiriamali Mzuri:-Jifunze kilimo cha kisasa Hapa:-Nini Maana ya Ujasiriamali?
Tofauti kati ya Elimu ya Darasani na ya Ujasiriamali:-Siri 101 unazotakiwa kuzijua ili kufanikiwa Kibiashara:
Mbinu za kutumia ili kupata mtaji wa biashara:-Zijue siri 22 za kupata mtaji wa Biashara:-Zijue namba hizi muhimu katika biashara yako:-Acha kulalamika huna mtaji, mtaji uko hapa:-Fursa za kijasiriaMali Ziko hapa:-Mbinu 7 za kukuingizia kipato hata ukiwa umelala:
Njia za kufikia mafanikio Kwa haraka zaidi:-Faida za kuwa na Ubunifu katika biashara:-
Siri zaidi za kuyafikia mafanikio ya Kiuchumi:-
Mambo zaidi ya kujifunza kama mjasiriamali:-Sayansi ya kuuza Bidhaa:-Mafunzo zaidi ya Ujasiriamali yako hapa:-
Biashara Tano zenye Faida Kubwa:-KAMA UMEGUSWA NA UNGEPENDA SAPOTI KAZI YETU HII WAWEZA KUTUMA KIASI CHOCHOTE KWENYE NAMBA HII YA MPESA: 0753775158 - JOACHIM KWEKA Barikiwa Sana
Nini Maana ya Ujasiriamali?
Tofauti kati ya Elimu ya Darasani na ya Ujasiriamali:-
Siri 101 unazotakiwa kuzijua ili kufanikiwa Kibiashara:
Mbinu za kutumia ili kupata mtaji wa biashara:-
Zijue siri 22 za kupata mtaji wa Biashara:-
Zijue namba hizi muhimu katika biashara yako:-
Acha kulalamika huna mtaji, mtaji uko hapa:-
Fursa za kijasiriaMali Ziko hapa:-
Mbinu 7 za kukuingizia kipato hata ukiwa umelala:
Njia za kufikia mafanikio Kwa haraka zaidi:-
Faida za kuwa na Ubunifu katika biashara:-
Siri zaidi za kuyafikia mafanikio ya Kiuchumi:-
Mafunzo zaidi ya Ujasiriamali yako hapa:-
Biashara Tano zenye Faida Kubwa:-
KAMA UMEGUSWA NA UNGEPENDA SAPOTI KAZI YETU HII WAWEZA KUTUMA KIASI CHOCHOTE KWENYE NAMBA HII YA MPESA: 0753775158 - JOACHIM KWEKA
Barikiwa Sana
Benki ya Barclays PLC. Ufalme uliopangwa Unatoa kila aina ya mikopo kwa kiwango cha 2%.
JibuFutaKiasi kinatofautiana kati ya US $ 3,000 chini na US $ 300,000,000 upeo.
Jisajili sasa kwa mkopo wako ndani ya masaa 2 ya idhini.
Wasiliana nasi kwa barua pepe: barclaysbank.plc421@gmail.com au piga simu kwa msaada zaidi: +13212578711
Benki ya Barclays PLC. Ufalme uliopangwa Unatoa kila aina ya mikopo kwa kiwango cha 2%.
JibuFutaKiasi kinatofautiana kati ya US $ 3,000 chini na US $ 300,000,000 upeo.
Jisajili sasa kwa mkopo wako ndani ya masaa 2 ya idhini.
Wasiliana nasi kwa barua pepe: barclaysbank.plc421@gmail.com au piga simu kwa msaada zaidi: +13212578711
Kwa hapa Tanzania nitapataje mkopo kwa masharti nafuu?
JibuFutaBenki ya Barclays PLC. Uingereza Inatoa kila aina ya mikopo kwa kiwango cha 2%.
JibuFutaKiasi kinatofautiana kati ya US $ 3,000 chini na US $ 300,000,000 upeo.
Jisajili sasa kwa mkopo wako ndani ya masaa 2 ya idhini.
Wasiliana nasi kwa barua pepe: barclaysbank.plc421@gmail.com au piga simu kwa msaada zaidi: +13212578711
Benki ya Barclays PLC. Uingereza Inatoa kila aina ya mikopo kwa kiwango cha 2%.
JibuFutaKiasi kinatofautiana kati ya US $ 3,000 chini na US $ 300,000,000 upeo.
Jisajili sasa kwa mkopo wako ndani ya masaa 2 ya idhini.
Wasiliana nasi kwa barua pepe: barclaysbank.plc421@gmail.com au piga simu kwa msaada zaidi: +13212578711
asante nsurii
JibuFutaKupata mkopo wa halali daima imekuwa tatizo kubwa Kwa wateja ambao wana shida ya kifedha na wanahitaji ufumbuzi. Suala la mkopo na dhamana ni kitu ambacho wateja daima wana wasiwasi kuhusu wakati wa kutafuta mkopo kutoka kwa mkopeshaji halali. Lakini, tumefanya tofauti hiyo katika sekta ya mikopo. Tunaweza kupanga kwa mkopo kutoka kwa kiwango cha Euro 5,000. hadi Euro 500,000.000 chini ya riba ya 3% Kindly kujibu kwa barua pepe hii: Gregowenloanfirm1@gmail.com
JibuFutaHuduma zetu ni pamoja na zifuatazo:
1) Madeni ya Kuunganisha
2) Mortgage ya Pili
3) Mikopo ya Biashara
4) Mikopo ya kibinafsi
5) Mikopo ya Kimataifa
6) Mkopo kwa aina yoyote
7) Mkopo wa familia E.T.C
Hakuna usalama wa kijamii na hundi ya mikopo, 100% Dhamana. Wote unachotakiwa kufanya ni kutujulisha hasa unachotaka na tutafanya ndoto yako iwe kweli. GREG OWEN LOAN FIRM1 inasema Ndio wakati mabenki yako yanasema NO. Hatimaye, tunafadhili kampuni ndogo ya mkopo, wasimamizi, taasisi za fedha za wadogo kwa kuwa tuna mtaji usio na ukomo. Kwa maelezo zaidi kuhusu kwenda kupata mkopo kuwasiliana na sisi, Kindly kujibu mara moja.
Info ya Mawasiliano ya Kampuni
Anwani ya barua pepe: Gregowenloanfirm1@gmail.com
Mimi Kwa ujaini Johnson Tamara yetu. Ninaishi Marekani, Kati ya HII Nataka Kutum Ili kuwaonya washauri Wote Sana wa Mpango wa mkopo Kuwait Makin Sababu KUNA Kashfa Kwa Kila Mahal. Nimeshambuliwa si wakopaji Kadhaa mtandaoni. Nilikuwa nimepoteza Tumaini Kwa Hadi Rafiki Yangu alipokuwa akanipeleka wakopaji Sana wa kuaminika aitwaye Mr Collins Williams Loan Company Ambay alinipa Mpango wa mkopo usio wa Salama ya Chini 75,000 Dola meza 24 Shida yoyote mpira. Ikiwa moja Haja Aina ya ya yoyote Mpango wa mkopo wewe wasiliana Naye sasa-kupitia Barua Pepe: HII Nitumia bigloan15@gmail.com Kati Ili kuwaonya Kwa Wote wanaotafuta Mpango wa mkopo Sababu ya ya Jahannamu niliyopita katika Mikono wakopaji bandia.Mimi sisi Tamara Johnson Kwa ujaini. Ninaishi Marekani, Kati ya HII Nataka Kutum Ili kuwaonya washauri Wote Sana wa Mpango wa mkopo Kuwait Makin Sababu KUNA Kashfa Kwa Kila Mahal. Nimeshambuliwa si wakopaji Kadhaa mtandaoni. Nilikuwa nimepoteza Tumaini Kwa Hadi Rafiki Yangu alipokuwa akanipeleka wakopaji Sana wa kuaminika aitwaye Mr Collins Williams Loan Company Ambay alinipa Mpango wa mkopo usio wa Salama ya Chini 75,000 Dola meza 24 Shida yoyote mpira. Ikiwa moja Haja Aina ya ya yoyote Mpango wa mkopo wewe wasiliana Naye sasa-kupitia Barua Pepe: HII Nitumia bigloan15@gmail.com Kati Ili kuwaonya Kwa Wote wanaotafuta Mpango wa mkopo Sababu ya Jahannamu niliyopita katika wakopaji Mika Band.
JibuFutaSawa
JibuFutaJe! Unahitaji mkopo? Tunatoa kila aina ya mkopo kama mkopo wa deni, mkopo wa biashara, mkopo wa matibabu, mkopo wa nyumbani, mkopo wa mwanafunzi kiwango cha riba ya 1.5%.
Wasiliana nasi leo kupitia barua pepe kwa usaidizi wa kifedha: easyloanfirm2020@gmail.com
Kila la heri
Derek Douglas
LOAN OFFER !!!
JibuFutaSisi ni FIRAM LOAM FIRM sisi hutoa wote mrefu na muda mfupi mkopo fedha. Tunatoa mikopo salama na ya siri kwa kiwango cha chini cha riba ya asilimia 2 kwa mwaka, Mikopo ya kibinafsi, Mikopo ya Mkusanyiko wa Madeni, Mkopo wa Uwekezaji, Mkopo wa Biashara, Mkopo wa Mikopo, Mkopo wa Elimu, Mkopo wa Mikopo na Mikopo kwa sababu yoyote!
Sisi ni mbadala inayoaminika kwa fedha za benki, na mchakato wetu wa maombi ni rahisi na moja kwa moja mbele. Mkopo wetu huanzia $ 5,000.00 hadi $ 25, 000,000.00. (Dola milioni ishirini na tano). Maelezo ya ziada: Sisi ni haraka kuwa uchaguzi wa faragha, wa busara, na huduma ya mikopo kwa jumla ya mikopo. Sisi ni kampuni ya kugeuka wakati vyanzo vya mikopo ya jadi kushindwa.
Ikiwa una nia usifanye
usisite kuwasiliana nasi na habari hapa chini kwa barua pepe, diamondloanfirm24@gmail.com
Kudhibiti kwa joto,
Mheshimiwa Matt Philips.
Mkuu, Mikopo Idara ya Maombi,
DIAMOND LOAN FIRM.
Barua pepe: diamondloanfirm24@gmail.com
LOAN OFFER !!!
JibuFutaSisi ni FIRAM LOAM FIRM sisi hutoa wote mrefu na muda mfupi mkopo fedha. Tunatoa mikopo salama na ya siri kwa kiwango cha chini cha riba ya asilimia 2 kwa mwaka, Mikopo ya kibinafsi, Mikopo ya Mkusanyiko wa Madeni, Mkopo wa Uwekezaji, Mkopo wa Biashara, Mkopo wa Mikopo, Mkopo wa Elimu, Mkopo wa Mikopo na Mikopo kwa sababu yoyote!
Sisi ni mbadala inayoaminika kwa fedha za benki, na mchakato wetu wa maombi ni rahisi na moja kwa moja mbele. Mkopo wetu huanzia $ 5,000.00 hadi $ 25, 000,000.00. (Dola milioni ishirini na tano). Maelezo ya ziada: Sisi ni haraka kuwa uchaguzi wa faragha, wa busara, na huduma ya mikopo kwa jumla ya mikopo. Sisi ni kampuni ya kugeuka wakati vyanzo vya mikopo ya jadi kushindwa.
Ikiwa una nia usifanye
usisite kuwasiliana nasi na habari hapa chini kwa barua pepe, diamondloanfirm24@gmail.com
Kudhibiti kwa joto,
Mheshimiwa Matt Philips.
Mkuu, Mikopo Idara ya Maombi,
DIAMOND LOAN FIRM.
Barua pepe: diamondloanfirm24@gmail.com
Hi, mimi ni Dorcas Alvaro, sasa ninaishi Malaga Hispania. Kwa wakati huu mimi ni mjane mwenye watoto wanne na nilikuwa nimekwama katika hali ya kifedha Mei 2018 na nilihitajika kurejesha na kulipa bili yangu. Nilijaribu kutafuta mikopo kutoka kwa makampuni kadhaa ya mkopo, wote binafsi na ushirika, lakini kamwe haukufanikiwa, na benki nyingi zimekataa mkopo wangu. Lakini kama Mungu anataka, nilitambuliwa kwa mtu wa Mungu, mkopo wa mkopo binafsi ambaye alinipa mkopo wa EUR 80,000 na leo nina biashara na watoto wangu ni nzuri kwa wakati huu, ikiwa unapaswa kuwasiliana na yoyote kampuni yenye kumbukumbu ya kuhakikisha mkopo usiohakikishiwa, hakuna hundi ya mikopo, hakuna sahihi na kiwango cha asilimia 2 tu na mipango bora ya malipo na ratiba, wasiliana na Mr Roberto Anderson (robertoandersonloan.inc@gmail.com). hajui kwamba ninafanya hivyo, lakini ninafurahi sana sasa na nimeamua kuwa watu watajua zaidi juu yake na pia nataka Mungu ambariki zaidi. Unaweza kumsiliana naye kupitia barua pepe yake: ROBERTOANDERSONLOAN.INC@GMAIL.COM.
JibuFutaPata mkopo wako sasa ndani ya masaa 48
JibuFutaSiku njema
Je! Unataka kuwa mjasiriamali, kuanza mradi au kununua nyumba au wewe ni katika kurekebisha fedha, msaada wako unakuja sasa, umepoteza ndoto yako, kujaribu kupata tayari, usiruhusu ndoto zako kufa, wasiliana na Mr. Fred zaidi, kwa mkopo wa haraka na wa kuaminika.
Tunatoa aina hii ya mkopo chini:
Mkopo wa biashara 1
biashara
mkopo wa tatu ghorofa
mkopo 4. auto
mkopo 5. mkopo wa mkopo, nk.
Tunatoa mikopo kwa wateja wenye dhati na waaminifu ambao wako tayari kushirikiana nasi na kiwango cha riba cha 3%, kuanzia 100,000.00 hadi 500,000,000,000.00.
Wasiliana nasi haraka kupitia e-mail yetu (fredmorefinance@gmail.com)
(fredmorefinance@hotmail.com)
Nambari ya Whatssap: +919654763221
Iliingia
Mkurugenzi
Mheshimiwa Fred more
Nashukuru kwa kunipa mwanga namna ya kupata mkopo
JibuFutaKaribu tukuhudumie
FutaUnatafuta kampuni halisi ya mkopo wa kifedha kupata mkopo wa euro 10,000 hadi euro 10,000,000 (kwa mkopo wa kibiashara au biashara, mikopo ya kibinafsi, mkopo wa kibinafsi, mkopo wa rehani, mkopo wa gari, mkopo wa ujumuishaji wa deni, mkopo wa ubia, mkopo wa afya nk. ))
JibuFutaAu ananyimwa mkopo kutoka benki au taasisi ya kifedha kwa sababu yoyote?
Tuma ombi sasa na upate mkopo halisi wa kifedha. Inasindika na kupitishwa kwa siku 3.
PODIFIC FEDHA YA MALI YA FEDHA Sisi ni wakopeshaji wa mkopo wa kimataifa ambao hutoa wafadhili wa kweli kwa watu na kampuni kwa kiwango cha chini cha riba cha 2% na kitambulisho halali au pasipoti ya kimataifa ya nchi yako kwa malipo ya ukaguzi.Leo linaanza saa 1 (moja) baada ya mkopo unapokelewa na kipindi cha ulipaji ni miaka 3 hadi 35.
Kwa majibu ya haraka na kushughulikia maombi yako ya mpaka kati ya siku 2 za biashara
Wasiliana nasi moja kwa moja kupitia barua hii: pacificfinancialloanfirm@gmail.com
Wasiliana nasi na habari ifuatayo:
Jina kamili: ____________________________
Kiasi cha pesa kinachohitajika kama mkopo: ________________
Muda wa mkopo: _________________________
Madhumuni ya mkopo: ______________________
Siku ya kuzaliwa: ___________________________
Jinsia: _______________________________
Hali ya Ndoa: __________________________
Anwani ya mawasiliano: _______________________
Nambari ya jiji / ZIP: __________________________
Nchi: _______________________________
Kazi: ____________________________
Simu ya rununu: __________________________
Tuma ombi lako kwa jibu la haraka kwa: pacificfinancialloanfirm@gmail.com
asante
Afisa Mtendaji Mkuu Bi Victoria Johnson
Thanks for your ads
FutaJe! Unahitaji mkopo unaofaa kwa kuridhika kwako? Tunatoa mkopo wa kiwango cha riba cha 3% kwa wakopaji wa ndani na wa kimataifa. Tumehakikishiwa, tunaaminika, tunaaminika, ufanisi, haraka na nguvu na tunashirikiana. tunatoa mkopo wa muda mrefu kwa kiwango cha juu cha miaka 2 hadi 50.
JibuFutaJe! Unahitaji mkopo wa moja kwa moja, rahisi na wa bei rahisi kulipa deni yako, kuanzisha biashara au kwa sababu nyingine? Ikiwa ndivyo, tafadhali wasiliana nasi kwa mkopo.
Ofa hii ni ya watu wazito.
Ikiwa una nia, tafadhali wasiliana nasi kupitia: Barua pepe: bryanstefanloanfirm@gmail.com
WhatsApp: +919654763221
Tumethibitishwa,
kuaminika, ufanisi, haraka na nguvu.
Kwa dhati,
Bryan Stefan
bryanstefanloanfirm@gmail.com
asante kwa nasaha naamini nimepata kitu kipya leo
JibuFuta